Uchaguzi 2020 Hali ya maisha mtaani ni ngumu mno


wakati tukienda shule wewe ulikalia politic... vuna ulichopanda
 
Tuoneshe mfano. Anza kwa kurekodi ka video tu ukihamasisha tuingie mtaani kufanya chochote.
Elfu saba saba zimewatoa akili kabisa. Unadhani huko vijijini na mitaani wanazipata hizo pia? Puumbavu sana ninyi.
 

Attachments

  • Lumumba Buku 7.jpg
    20.8 KB · Views: 1
Ni heri tupigwe mabomu kuliko kupigwa njaa again for 5 yrs.
Watz wengi walishasahau kunywa chai, wengi wanashindia mihogo,
 
Trump mjanja mjanja sana na unakuta hiyo kodi kailipa ndogo hivyo lakini ni perfectly legal hajavunja sheria! Ukijua loop holes za kupitia raha sana!😁
 
Usiwakatishe watu tamaa kwa woga wako, sio mara ya kwanza wala si jambo la ajabu kwa watanzania kuingia mtaani wakidai haki zao. Haki yetu ikiminywa tutaingia mtaani.
Keyboard warrior.
 
Keyboard warrior.
Mambo yote yanaanza kwa kuhamasishana. Usikubali nchi hii itawaliwe kwa mtindo huu wa sasa, ni hatari sana umeona uvunjifu mkubwa wa amani na hakuna lolote la maana alilofanya magu ni kawaida sana na hadi sasa hajafikia robo ya Kiwete. Nitajie mradi mkubwa mmoja ambao magu amekamilisha katika kipindi cha miaka mitano. Usitaje miradi aliyoanzisha Kikwete. Mmoja tu mkubwa sio vibarabara vya hapa na pale Kikwete alijenga mabarabara marefu kuunganisha mkoa na mkoa, taja mmoja tu.
 

so unadhan serikali ndo inafanya maisha yanakua magumu? basi jiandae kua na maisha magumu zaidi maaana wana ccm tuna jambo letu kwenye katiba mpya
 


huu ndo mtazamano wa watu wengi, hawa wengine wana tundu kwenye kichwa
 
Hahahahh
Niwaambie MAGUFULI Anachukiwa Mitandao Tuu tena Sana Sana Jamii forum Na Twitter

Kwa Ground Mambo Ni tofauti endeleeni kujipa Mioyo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Na kimbunga tunachokiona kila apitapo hao ni wanaFJ au ni events za mwaka 1890 wakiwapokea wakoloni!!! MATAGA bwana, mnajua kujitoa akili!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…