Mburia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 2,369
- 3,488
Nimewahi kuwauliza watu hii issue kweli kabisa tumeamua ku abandon umeme wa gesi na kuja huku kwenye maji ambako tunajua kwamba climate change is real??Itatuchukua muda sana ili tuweze kupata Umeme kupitia Bwawa la Nyerere! hata kama usimikaji wa mitambo kukamilika!