Hatari aisee tumshukuru Mungu ambao tumepata mvua vzr.Hapo ni Handeni Tanga, mambo sio mambo huko. View attachment 2568908
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Wewe muongo, hiyo picha iko mtandaoni toka zamaniHapo ni Handeni Tanga, mambo sio mambo huko. View attachment 2568908
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Hahaaa. Sio kweli. Hiyo nimetumiwa na mtu wa huko.Wewe muongo, hiyo picha iko mtandaoni toka zamani
Haya mbona bado mabichi yanachomeka kwa sisi wenye mataya ya fisiSONGEA,waliowahi kupanda tayari wanavuna kibishiView attachment 2575748View attachment 2575747
LubangoMuhindi umetulia sana,mbegu gani hiyo?
Lakini ndo hvyo Hali ilivyo kwa Sasa hata mm nlishuhudiaWewe muongo, hiyo picha iko mtandaoni toka zamani
Wanayovuna sio hayo mkuu,hayo Bado sanaHaya mbona bado mabichi yanachomeka kwa sisi wenye mataya ya fisi
Tupia picha kuonyesha hali ya mazao ya chakula yanavyoonekana shambani sehemu unayoishi. Lengo ni kutaka kujua hali ya mvua na ukame katika mikoa mbalimbali.
Karibuni.
Hapa ni mkoa wa Iringa maeneo ya Tosamaganga njia panda. Kwa ujumla Sehemu kubwa ya maeneo ya Iringa mvua zimenyesha vizuri na mazao yanaendelea vzr "regardless" jua kali la mwezi February.View attachment 2567953View attachment 2567954 camera ni ya simu gani kali sana
Hii ni camera ya simu gani mkuu maana kali kinoma.Tupia picha kuonyesha hali ya mazao ya chakula yanavyoonekana shambani sehemu unayoishi. Lengo ni kutaka kujua hali ya mvua na ukame katika mikoa mbalimbali.
Karibuni.
Hapa ni mkoa wa Iringa maeneo ya Tosamaganga njia panda. Kwa ujumla Sehemu kubwa ya maeneo ya Iringa mvua zimenyesha vizuri na mazao yanaendelea vzr "regardless" jua kali la mwezi February.View attachment 2567953View attachment 2567954
Babu ungetaja rukwa eneo gani Kama mleta mada alivyofanyaHapa ni Rukwa