Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Tupia picha kuonyesha hali ya mazao ya chakula yanavyoonekana shambani sehemu unayoishi. Lengo ni kutaka kujua hali ya mvua na ukame katika mikoa mbalimbali.
Karibuni.
Hapa ni mkoa wa Iringa maeneo ya Tosamaganga njia panda. Kwa ujumla Sehemu kubwa ya maeneo ya Iringa mvua zimenyesha vizuri na mazao yanaendelea vzr "regardless" jua kali la mwezi February.
Karibuni.
Hapa ni mkoa wa Iringa maeneo ya Tosamaganga njia panda. Kwa ujumla Sehemu kubwa ya maeneo ya Iringa mvua zimenyesha vizuri na mazao yanaendelea vzr "regardless" jua kali la mwezi February.