Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
hoja ipi nijibu yani nijadir ofis ya chadema na zito niache kushughulikia wapumbavu wanaopora mabillion ya kodi tunazolipa wananchi kutokana na ufisadi wa ccm, kama unakereka kimbia jf lakin ukiendelea kuwepo utapata stress hadi ufe maana ndio kwanza nimeanza upya baada ya shughuli zangu za kila siku so narudia tena jiunge na zito dhidi ya chadema muone tutakavyowanyoosha wapuuz nyinyi.Bro simama af jipige kifua mara tatu ili upunguze makasiriko ujibu hoja.