Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Naona kuwa nyumba ndogo ya mwenyekiti kumekufanya usifatilie historia ya waliochangia chama tangu miaka hiyo mpaka leo.sabodo alikuwa anachangia mashoga ya ccm na wapumbavu wa sukuma gang na hajawahi kuichangia chadema kama kuna mtu anaamin kuwa sabodo aliichangia chadema naye ni mpumbavu na atakuwa roporopo akiulizwa maswali yafuatayo hatakuwa na majibu,
1. sabodo alichangia chadema lini.
2. sabodo alichangia chadema kwa njia ipi, cash,bank, mobile
3. sabodo alithibitisha lini kuwa ameichangia chadema.
Endapo majibu hayatapatikani kutoka kwa anayesema chadema ilichangiwa na sabodo nitaendelea kusema ni bora mheshimiwa samia aendelee kuwaletea tetez la mashoga ili muendeleze ushoga tu maana ndio kazi mnayoiweza imbeciles.
Sawa penzi lako kwa mwenyekiti na chama chake vinaweza kukufanya usijue kinachoendelea, lkn hata picha iliyowekwa inakufanya pia usione. Ama kweli kupenda ni upofu. Umepagawa na penzi la mwenyekiti mpaka unashindwa kuona wanaompa msaada wa chama chake pichani!!