Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Ukiisema tuu h kauli, unamsikia boss wako wa kihindi anakuambia ukasafishe choo chake πHatuagizwi na mabosi. Sisi wenyewe mabosi. Hizi kaulizi za kijinga sanaa
Mkuu hapa mtaani watoto wapo kama wote ila sasa naona kama taweka rehani biashara yangu.Sasa hapo tafuta demu kausha damu hapo mtaani kwako awe anakupa stress za vizinga ili akili ichangamke zaidi
Nilikimbia kwa wahindi.Ukiisema tuu h kauli, unamsikia boss wako wa kihindi anakuambia ukasafishe choo chake π
Mkuu kuwa serious.Inategemeana na Bahati ya mtu, mfano mimi nilianzisha biashara ya kuuza madafu, baada ya mwezi nikapata tenda ya kuuza madafu ikulu. Ikulu dafu moja wananunua laki 3 .
Sema wewe nasikia una mashangazi mkuu
Hapo sasa ndio akili inachangamka zaidi πMkuu hapa mtaani watoto wapo kama wote ila sasa naona kama taweka rehani biashara yangu.
Maana jana tu nimechekea mdada kasepa na flash 32GB kwa 5k mpya.
Nikabaki nacheka tuu
Safi sana,kaza mkuu,sio wengine kulalamika huku wamekaa vijiweni tu,muda haumsubiri mtu,Nina mpango nikapange kabisa ili akili ikae sawa yaani niwe nadaiwa fremu na chumba mpaka kieleweke mwaka huu
Alafu ni mdada wa chuo.Hapo sasa ndio akili inachangamka zaidi π
Mkuu hapa mtaani watoto wapo kama wote ila sasa naona kama taweka rehani biashara yangu.
Maana jana tu nimechekea mdada kasepa na flash 32GB kwa 5k mpya.
Nikabaki nacheka tuu
***** πππMkuu hapa mtaani watoto wapo kama wote ila sasa naona kama taweka rehani biashara yangu.
Maana jana tu nimechekea mdada kasepa na flash 32GB kwa 5k mpya.
Nikabaki nacheka tuu
Blood tunakaza sana..Safi sana,kaza mkuu,sio wengine kulalamika huku wamekaa vijiweni tu,muda haumsubiri mtu,
All the best brother.
Mkuu wanasema kama ukoo wenu ni masikini basi kukwepa hiyo chain ni ngumu aiseerhahaha
nilikimbia ukoo kimkakati saana sitaki kukumbukaaa
Endelea kuita mama hivo hivo....we tulia hom hapo kula maziwa mtindi na mikateMama