Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #41
Mkuu vipi huko kibaha sio pazito kama huku.Mi nishakimbia mjini kitambo mkuu saiz nimesogea maeneo ya kibaha nashukuru mungu c haba napata kipato cha uhakika
Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu vipi huko kibaha sio pazito kama huku.Mi nishakimbia mjini kitambo mkuu saiz nimesogea maeneo ya kibaha nashukuru mungu c haba napata kipato cha uhakika
Mkuu ila hapa mjini hapa.Of course mjini sitoki. Sensa ishanihesabia hapa niende mkoa wakati huduma natakiwa nipewe Ubungo.
Mungu anakuonaInategemeana na Bahati ya mtu, mfano mimi nilianzisha biashara ya kuuza madafu, baada ya mwezi nikapata tenda ya kuuza madafu ikulu. Ikulu dafu moja wananunua laki 3 .
Mungu atupiganie aisee inafika stage mpaka kuwa na manz unaona jau sababu ukishamuingiza tu kwenye maisha yako lazima akuvurugie mipangoVijana msimamo ule ule hakuna kuondoka hapa mjini...
Mpaka kieleweke
Bila uchawi utoboi.Aisee ilikua biashara gan maeneo gan, hii nchi kutoboa kwa njia Halali tabu sana
AnazinguaMungu anakuona
Kwani polisi ajila wanatoa liniGhafla uka ukachukuliwa Jw uwe komando! 😂😂
Acha akili za kitoto. Grow up niggah.Inategemeana na Bahati ya mtu, mfano mimi nilianzisha biashara ya kuuza madafu, baada ya mwezi nikapata tenda ya kuuza madafu ikulu. Ikulu dafu moja wananunua laki 3 .
Noma awamu hii hakuna notice, show ya kimya kimya kama Jay MoeMi nishakimbia mjini kitambo mkuu saiz nimesogea maeneo ya kibaha nashukuru mungu c haba napata kipato cha uhakika
Watu mnabahati sanaAaahhh haa
Mkuu wee acha. Hata hawa wafanya biashara ni wa kuwaheshimu sana.Mungu atupiganie aisee inafika stage mpaka kuwa na manz unaona jau sababu ukishamuingiza tu kwenye maisha yako lazima akuvurugie mipango
Bora wewe umemwambia mkuuAcha akili za kitoto. Grow up niggah.
Huko ndio pazito mno kuliko hata dar maana fursa hakuna bahati mimi nilikuja tu na kampuni flani bila hivo nisingekaa huku ningekomaa na dar hiyo hiyo mpaka kielewekeMkuu vipi huko kibaha sio pazito kama huku.
Dar
Kwakwel mimi sijui na hata siwafuatiliagi hao watu. Nilishasemaga bora nikawe omba omba mtaani kuliko kuwa polisi. Sitaki hata kuisikia hiyo kadaKwani polisi ajila wanatoa lini
Kuwa makini mjini code tuMaisha bwana,
Watu mnabahati sana
Mkuu nikwambie kitu tu..Mkuu kama mambo ni magumu zaidi...tafuta tu Mshangazi akuokee
= nilivyofikiria.Wasalam.
Ndugu jamaa na marafiki.
Hali ya mjini hapa dasalama ni tofauti na nilivofikilia nimeamini mjini pazito 🙌🙌🙌🙌.
Mjini pazito aiseee. yaani nilijua nikishapata biasahara ndo nishamaliza kumbe bado kuna kusugua sana.
Mjini pazito nyie watu hawana huruma kabisa. Bora ningebaki mkoani huko.
Ila ngoja nikaze hivi hivi mpaka kieleweke kikubwa tunapata cha halali....
Kuna time unapitia hata hamu za wanawake unakua huna kabisa kutokana na ugumu wa life hapa dasalamu.
Mjini pazito 🙌 🙌 🙌 🙌
Mkuu afadhali wewe tayari upo mbele kwa hatua kutuzidiMkuu wee acha. Hata hawa wafanya biashara ni wa kuwaheshimu sana.
Mkuu wanapitia mambo magumu sana mjini hapa..
Hii cycle nilikua siijui ila sasa nimeingia hapa ngoja nikomaeee hv hvo
Ndo ivo ukiyakanyaga wanaweza hata kuua huku wanapost insta.Yaani watu wana roho mbya huku mkuu...
Mpaka najuta kwanini nimekuja huku ila nachoona ukijua kucheza na psychology za watu basi ushamaliza