KatetiMQ
JF-Expert Member
- Sep 25, 2022
- 249
- 506
Endelea kuita mama hivo hivo....we tulia hom hapo kula maziwa mtindi na mikate.
😂😂😂bado hujasemaEndelea kuita mama hivo hivo....we tulia hom hapo kula maziwa mtindi na mikate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuita mama hivo hivo....we tulia hom hapo kula maziwa mtindi na mikate.
😂😂😂bado hujasemaEndelea kuita mama hivo hivo....we tulia hom hapo kula maziwa mtindi na mikate
Braaaandeeee....😂😂😂bado hujasema
Mkuu kiburi cha kuanzisha biashara ukiwa kwa shemeji ulikipata wapiNina mpango nikapange kabisa ili akili ikae sawa yaani niwe nadaiwa fremu na chumba mpaka kieleweke mwaka huu
Mkuu ushauri wa wazee wa hovyo huku jf..Mkuu kiburi cha kuanzisha biashara ukiwa kwa shemeji ulikipata wapi
Wewe utakuwa komando muuza madafu 😀Inategemeana na Bahati ya mtu, mfano mimi nilianzisha biashara ya kuuza madafu, baada ya mwezi nikapata tenda ya kuuza madafu ikulu. Ikulu dafu moja wananunua laki 3 .
Mkuu huyo muongo...Wewe utakuwa komando muuza madafu 😀
Daaah mkuu we acha hii dar inajua ku kwichi kwichi watu..Awamu hii noma, shamba linatuita kimya kimya. Hayati JPM alisema lazima tukimbie Dar ila awamu hii show ya kimya kimya bila notice
Ahahah mkuu acha uwoga bana.Mi nimefunga duka last week. Ngoja nijipange upya.
Mi nishakimbia mjini kitambo mkuu saiz nimesogea maeneo ya kibaha nashukuru mungu c haba napata kipato cha uhakikaAwamu hii noma, shamba linatuita kimya kimya. Hayati JPM alisema lazima tukimbie Dar ila awamu hii show ya kimya kimya bila notice
Ghafla uka ukachukuliwa Jw uwe komando! 😂😂Inategemeana na Bahati ya mtu, mfano mimi nilianzisha biashara ya kuuza madafu, baada ya mwezi nikapata tenda ya kuuza madafu ikulu. Ikulu dafu moja wananunua laki 3 .
Mkuu, nimepambana sana. Sioni mnaendeleo aisee. Natoa hela ya mshahara nafeed shop.Ahahah mkuu acha uwoga bana.
Mi nakomaa mana kodi yangu ijaisha ila najua nikimaliza hapa kurudi hapana
Aaahhh haaGhafla uka ukachukuliwa Jw uwe komando! 😂😂
Yaani watu wana roho mbya huku mkuu...Ukiskia dunia haina huruma basi jua ni mjini hasa daslam.
Huu mji watu hawana huruma, no kujuana sana. Wazawa wanajua kuishi kwa code ila wageni hupigwa mno na wakuja wenzao maana wanajuana madhaifu yao.
Ishi kwa code.
Of course mjini sitoki. Sensa ishanihesabia hapa niende mkoa wakati huduma natakiwa nipewe Ubungo.Vijana msimamo ule ule hakuna kuondoka hapa mjini...
Mpaka kieleweke
Aisee ilikua biashara gan maeneo gan, hii nchi kutoboa kwa njia Halali tabu sanaMi nimefunga duka last week. Ngoja nijipange upya.