Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Eheheh.. hamna mkuu, hizo ni lugha za watu wanaokunyima fursa ndio wanakukataa ki style hiyo, utasikia "mjini code tu".Kuwa makini mjini code tu
Hamna code wala nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eheheh.. hamna mkuu, hizo ni lugha za watu wanaokunyima fursa ndio wanakukataa ki style hiyo, utasikia "mjini code tu".Kuwa makini mjini code tu
Mi mkuu ndo nakomaa unajua hizi ni hatua tuu mi sizani mpka mwakani hali itakua hivi hivi l.Huko ndio pazito mno kuliko hata dar maana fursa hakuna bahati mimi nilikuja tu na kampuni flani bila hivo nisingekaa huku ningekomaa na dar hiyo hiyo mpaka kieleweke
Hisani za mashangaz bado azijawahi kukutoa cha msingi niwewe mwenyew ujitafuteMkuu nikwambie kitu tu..
Kuhusu mashangazi sio kama hayapo..
Yapo sana ila sasa ukifukilia ni lini wewe utasimama kama wewe mkuu
Mkuu tunaenda huko ila kupata chochote kitu wanasema ugumu wa maisha ndio unakufanya uchague cha kufanyaKwakwel mimi sijui na hata siwafuatiliagi hao watu. Nilishasemaga bora nikawe omba omba mtaani kuliko kuwa polisi. Sitaki hata kuisikia hiyo kada
Mimi kuna mambo nilishakataa kuyafanya na sitayafanya hata iweje mkuu. Kama ni chochote kitu unaweza pata popote tuMkuu tunaenda huko ila kupata chochote kitu wanasema ugumu wa maisha ndio unakufanya uchague cha kufanya
Bi mkubwa sina la kukuambia ila jua tu kuna watu hapa mjini wanahali mbaya kifupi mjini ni pazito mno..= nilivyofikiria.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Mmmh mkuu hatua gani hizo mkuu.Mkuu afadhali wewe tayari upo mbele kwa hatua kutuzidi
Sema mkuu maisha haya haya bana.Ndo ivo ukiyakanyaga wanaweza hata kuua huku wanapost insta.
Hiyo siyo" typing error", "typo" zinafahamika na ujinga unafahamika.Bi mkubwa sina la kukuambia ila jua tu kuna watu hapa mjini wanahali mbaya kifupi mjini ni pazito mno..
Sasa wewe unapofocus na mambo ya typing error hi ni hali ya kushiba mkuu
Ndio mkuu mi hapa nilipoweka biashara kuna mdada mmoja yaani yeye amejipata sijui anafanya kazi gani aisee..Hisani za mashangaz bado azijawahi kukutoa cha msingi niwewe mwenyew ujitafute
Mkuu maisha ni vita aisee yani nikupigana mpaka mwishoMmmh mkuu hatua gani hizo mkuu.
Mkuu huku ni stress..
Watu unakuta wanapungua day after day kumbe ni mawazo
Mkuu mimi wazazi walishasema nikienda huko nijotoe kwenye ukoo.Mimi kuna mambo nilishakataa kuyafanya na sitayafanya hata iweje mkuu. Kama ni chochote kitu unaweza pata popote tu
Anajishughulisha na nini mkuuNdio mkuu mi hapa nilipoweka biashara kuna mdada mmoja yaani yeye amejipata sijui anafanya kazi gani aisee..
Ila yupo yeye kama yeye mpaka kuna mda nasema kweli maisha haya
Usiwe na roho mbaya ishi kwa code, fanya kile moyo wako unataka.Sema mkuu maisha haya haya bana.
Tunaishi mara moja ngoja tupambane tuu.
Zamani nilikua naona watu wa dar wana roho mbaya sana ila sasa kwa hali hii najiona na mimi naenda kuwa hivo
Daaha mkuu tunapambana hivo hivi Mungu yupo pamoja na sisi vijana.Mungu azidi kutupigania na kweli ya kesho atuyajui cha msingi ni kuendelea kupambana tu nakumbuka mwaka jana miezi kama hii nipo tu maskani sina kazi pia sina geto wala chochote naamka asubuh naenda tu kushinda kariakoo na wana, lakini leo hii tayari kuna hatua nimepiga Mungu ni mwema tuendelee kupambana na kumwamini yeye
hahaha..Mkuu wanasema kama ukoo wenu ni masikini basi kukwepa hiyo chain ni ngumu aiseer
Pole Mkuu! Mungu atakusaidiaMi nimefunga duka last week. Ngoja nijipange upya.
Sasa kama umekulia mjini uwezi kusoma uzi wote huo we ukafocus kwenye tofauti ya R na L mkuu..Hiyo siyo" typing error", "typo" zinafahamika na ujinga unafahamika.
Mtu anaeshindwa kutofautisha hata na R na L ni lazima mjini apaone "pazito".
Yote ipo kichwani kwa mtu.
Fikiria sisi tuliozaliwa na kukulia mjini utwambie mjini "pazito", tutakuelewa kweli?
Uzit na wepesi wa maisha upo mawazoni mwetu, siyo uhalisia.
"pazito" pana kilo ngapi na huko kwepesi pana kilo ngapi?
Thanks aisee. Nimepambana sana mwanzo ilikua na faida ila tokea 2023 ni kama nawafaidisha wafanyakazi, mwenye fremu, walinzi na TRA.Pole Mkuu! Mungu atakusaidia