Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Daaha mkuu tunapambana hivo hivi Mungu yupo pamoja na sisi vijana.
Ila hali niliyoiona hata kule kariakoo.
Mkuu pesa zipo na kwenye watu ndo pesa zinapatikana ila sasa zinapatikana vipi hapo ndo code zilipo
Mimi huwa nikifika kule nakaa nawaangalia sana yani unakuta mtu yupo na simu tu anazuga kwenye maduka mara hapa mara kule ila kufika jion mwamba anaondoka na hela ndefu halafu yupo smart mbaya
 
Usiwe na roho mbaya ishi kwa code, fanya kile moyo wako unataka.

Roho mbaya si za watu wote mkuu, kama sio mambo zako usiige wala usiwe na roho mbaya kwa kupretent.
Waache wenye nazo wapete nazo.
Yaani mkuu sijui mi labda nakosea kutafsiri.
Unajua watu hata kutoa msaada kwao ni ngumu licha wanajua hali unayopitia..
Mtu wa namna hiyo ww unamuweka kwenye kundi gani
 
Mimi huwa nikifika kule nakaa nawaangalia sana yani unakuta mtu yupo na simu tu anazuga kwenye maduka mara hapa mara kule ila kufika jion mwamba anaondoka na hela ndefu halafu yupo smart mbaya
Daaah aiseeee...hao ndo mawinga hao...
Kule akili nyingi tuu..
Sisi wengine huku mtaani tunapitia changamoto ila hapa tunatafuta tittle kwanza najua kuna mda mambo ya takaa sawa
 
Support man. Arudishe ya nn kwao mambo sio haba kivile. As long wameona jamaa anapambana, kama wamembust.
Daaaah wakati kuna wengine hiyo pesa tunaitafuta huku kwa jasho yaaani kikiri kakara...
Mjini hapa hatufanani.
Na haya mambo ni kama bahati sijui mana kuna watu unakuta wana pambana kweli kweli aiseee ila wapi
 
Back
Top Bottom