Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
ππππSasa hapo tafuta demu kausha damu hapo mtaani kwako awe anakupa stress za vizinga ili akili ichangamke zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππSasa hapo tafuta demu kausha damu hapo mtaani kwako awe anakupa stress za vizinga ili akili ichangamke zaidi
Umeona ujinga wako πππUkiisema tuu h kauli, unamsikia boss wako wa kihindi anakuambia ukasafishe choo chake π
Nisamehe love πUmeona ujinga wako πππ
OGOPA mkuu weeeh kauli hizi ona sasa nilikataa kuagizwa na mabosi ona sasa yanayonukutaWanatuombea mikosi
Tunalindwa na Sir God peke
haohao haohao
wanatuombea mabaya yanarudi kwaoπ
Hongereni Mkuu kupambanaGrahams njo utie neno mkuu.
Njo utupe hamasa vijana wako huku
Huyu ni kijana wa hovyo sana mkuuUmeona ujinga wako πππ
Kaza weweeeee,Dar ni Dar tuWasalam.
Ndugu jamaa na marafiki.
Hali ya mjini hapa dasalama ni tofauti na nilivofikilia nimeamini mjini pazito ππππ.
Mjini pazito aiseee. yaani nilijua nikishapata biasahara ndo nishamaliza kumbe bado kuna kusugua sana.
Mjini pazito nyie watu hawana huruma kabisa. Bora ningebaki mkoani huko.
Ila ngoja nikaze hivi hivi mpaka kieleweke kikubwa tunapata cha halali....
Kuna time unapitia hata hamu za wanawake unakua huna kabisa kutokana na ugumu wa life hapa dasalamu.
Mjini pazito π π π π
Next time uwe unauliza , hata mikow ya watu wengine unatakiwa ujue flow ya cash ikoje. Otherwise utaendelea kuteseka.Wasalam.
Ndugu jamaa na marafiki.
Hali ya mjini hapa dasalama ni tofauti na nilivofikilia nimeamini mjini pazito ππππ.
Mjini pazito aiseee. yaani nilijua nikishapata biasahara ndo nishamaliza kumbe bado kuna kusugua sana.
Mjini pazito nyie watu hawana huruma kabisa. Bora ningebaki mkoani huko.
Ila ngoja nikaze hivi hivi mpaka kieleweke kikubwa tunapata cha halali....
Kuna time unapitia hata hamu za wanawake unakua huna kabisa kutokana na ugumu wa life hapa dasalamu.
Mjini pazito π π π π
Nione unajisemesha nikikoment kitu kwenye uzi wowote. πNisamehe love π
Daaah mkuu ni kweli kabisa huku mjini bana ni vile tuna kaa kufata tittle ila hali halisi ndio hvo.Hongereni Mkuu kupambana
Ni kweli maisha ya Mjini yapo tight sana ukifanya ulinganishi na maisha ya Mikoani.
Mathani Kwa DSM, ni kawaida kukuta Kodi ya pango Kwa Chumba na Sebule kuwa shilingi 150,000 hadi 200,000. Wakati Kwa baadhi ya mikoa Kwa gharama hiyo unachukua nyumba nzima ama Vyumba viwili na sebule yenye Kila kitu ndani.
Kwahiyo ili uendane na maisha ya Mjini huna budi kuwa na shughuli zaidi ya Moja za kujiongezea kipato mathalani umeajiriwa lakini pia una biashara zako ndogo ndogo za kuongeza kipato. Bila kusahau kuongeza nidhamu ya Matumizi yako binafsi
Ndiyo maana Kwenye Majiji ya Nchi zilizoendelea unakuta mtu mmoja anafanya kazi Taasisi hata tatu Kwa Siku ili kujiongezea kipato chake binafsi. Uzuri wa kule wanalipa Kwa masaa tofauti na huku Bongoland π
Tunakaza ila bado ni pagumu mkuu.Kaza weweeeee,Dar ni Dar tu
Tema mate nimchapeHuyu ni kijana wa hovyo sana mkuu
Ukisema kitu ambacho sijakipenda ntakuambia tuu mana ww n mwanamke wangu hvy lazima ukae sehemu salama πNione unajisemesha nikikoment kitu kwenye uzi wowote. π
Daaah mkuu ndo pa kupea code hapa maana wengine tumevamia tuu baada ya kuondoka kwa mda mrefu ila huku ndo kwetuNext time uwe unauliza , hata mikow ya watu wengine unatakiwa ujue flow ya cash ikoje. Otherwise utaendelea kuteseka.
Karibu mjini
Utanichapia kitandani babeTema mate nimchape
PtuuuTema mate nimchape
Wee mujiheshimu..Utanichapia kitandani babe
Tunalainisha ugumu wa maishaWee mujiheshimu..
Watu tunajafili ugumu wa maisha nyie mnawaza kunjunjana wakuu
Ahahahahah
Babu umesema kweli, kuna nyumba tumepangisha 200,000 mkoani ina kila kitu nyumba nzima..!! Nafikiria ingekuwa huku ingenilipa, unaishia kuikopea bank.Hongereni Mkuu kupambana
Ni kweli maisha ya Mjini yapo tight sana ukifanya ulinganishi na maisha ya Mikoani.
Mathani Kwa DSM, ni kawaida kukuta Kodi ya pango Kwa Chumba na Sebule kuwa shilingi 150,000 hadi 200,000. Wakati Kwa baadhi ya mikoa Kwa gharama hiyo unachukua nyumba nzima ama Vyumba viwili na sebule yenye Kila kitu ndani.
Kwahiyo ili uendane na maisha ya Mjini huna budi kuwa na shughuli zaidi ya Moja za kujiongezea kipato mathalani umeajiriwa lakini pia una biashara zako ndogo ndogo za kuongeza kipato. Bila kusahau kuongeza nidhamu ya Matumizi yako binafsi
Ndiyo maana Kwenye Majiji ya Nchi zilizoendelea unakuta mtu mmoja anafanya kazi Taasisi hata tatu Kwa Siku ili kujiongezea kipato chake binafsi. Uzuri wa kule wanalipa Kwa masaa tofauti na huku Bongoland π
Kweli MkuuDaaah mkuu ni kweli kabisa huku mjini bana ni vile tuna kaa kufata tittle ila hali halisi ndio hvo.
Japo mikoani napo daaah kutoboa kule ni hatari.
Hapa mjini uwezi kuta mtu ana teseka miaka na miaka.
Unapitia kipindi kidogo tu cha kukufunza baada ya hapo unaanza kula matunda ya dunia