Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuzingua basiSafi love, kumbe unajiweza 👏 utaniweka hata hapo reception 😎
Mzee mwenzangu,Sahihi Mjukuu, shida ya Mikoani hakuna Mzunguko mkubwa wa hela kama ilivyo hapa DSM.
Binafsi nimeachana na biashara ya nyumba za Kupangisha, bora nijikongoje hata miaka 5 kujenga Lodge/Guest Houses tu kuliko nyumba za Kupangisha
Shughuli ninayo mkuu lakini sasa hapa nilipo mpaka kutafuta jina na kufanya mtaa ukuelewe ni kazi nyingine mkuuDar es salaam ni pagumu ukiwa hujishughulishi na kazi yoyote halali lakini ni sehemu nzuri sana pa kupata mafanikio Kwa haraka sababu ya mzunguko mkubwa wa watu.Ni kukomaa hapa hapa hadi kieleweke.
Bado mnaendelea wakuuSafi love, kumbe unajiweza 👏 utaniweka hata hapo reception 😎
Kuweni serious ahahahLini sasa love
Aiseee huyo mimi kabisa najiona nikiwa katika gali la chanika
Na kuna biashara ukifanya bila kusimamia mwnywe utoboi.Mzee mwenzangu,
Umri wetu huu ni kuwa makini na stress tunazozichagua. Usifanye biashara ya kukupa stress. Jamaa yangu alikaa chini akawazaaaa..akaamua kufungua liquor store..mzee hata huko walimpiga. Vijana wanaleta pombe zao kuuza. Mzee anaona shelves zimejaa...kumbe wajanja washafanya yao.
Kama Fundi manyumba alivosema...mji mzito sana.
Biashara ya lodge...itabidi ukae hapo. Vinginevyo utapigwa tuu na wenye nguvu za kukimbia.
Yaaan hii ni kweli kumbeBabu umesema kweli, kuna nyumba tumepangisha 200,000 mkoani ina kila kitu nyumba nzima..!! Nafikiria ingekuwa huku ingenilipa, unaishia kuikopea bank.
Tunapanga lakini hapo hapo mji unatupanga mkuu daahKweli Mkuu
Wanasema Mjini Mipango
Nyie wakorofi sana 😂Limeisha, atakupa majibu 😂😂😂
Mkuu ukijenga hiyo lodge naomba nipate ata usimamizi hapo nipo vizuriSahihi Mjukuu, shida ya Mikoani hakuna Mzunguko mkubwa wa hela kama ilivyo hapa DSM.
Binafsi nimeachana na biashara ya nyumba za Kupangisha, bora nijikongoje hata miaka 5 kujenga Lodge/Guest Houses tu kuliko nyumba za Kupangisha
Mkuu kuna wazawa huku.Dsm inawazawa sikuhizi?mbona nasikia wazawa wazaramo wamekimbilia huko uswekeni chole kisarawe.
Wewee acha kukufuru mkuuWewe kima The Stress Challengerr The Mongolian Savage unakula tu kwa raha kusafisha mitaro ya wazee. Mbusiiii
Daah kweli wewe jamaa mtata aiseeeUnatoa msaada kulingana na ulichonacho, msaada town hautolewi kindezi.
Mimi nna buku, hilo buku ndo nalitegemea kwa msosi how comes nikusave wewe mimi ntakula nini??
Mama ntilie wenyewe msosi wa buku hataki hata ipelee mia mbovu...
Kuna ndugu yako mpemba pale mbezi luis alifungua mgahawaMkuu kama mambo ni magumu zaidi...tafuta tu Mshangazi akuokee
Acha wivu mzee 😂Kuweni serious ahahah
Kuna yule kule mwisho kushoto yeye ameamua kugeuza daladala kuwa kitanda 😂
Niko serious loveAcha kuzingua basi