Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ndivyo ilivyo mkuu.Daah kweli wewe jamaa mtata aiseee
Toa ulicho na uwezo nacho, sio unatoa unabaki na manung'uniko na kuanza msimulia kila mtu ali ulimsaidia fulani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo ilivyo mkuu.Daah kweli wewe jamaa mtata aiseee
Mjini pazito mkuu oooohKuna ndugu yako mpemba pale mbezi luis alifungua mgahawa
Baada ya miezi mitatu akakimbia
Siku hizi tumamwona anajiita shehe
Daaha mkuu yaani kuna kipindi hadi nikawa nasema au shida nimelogwa.Ndivyo ilivyo mkuu.
Toa ulicho na uwezo nacho, sio unatoa unabaki na manung'uniko na kuanza msimulia kila mtu ali ulimsaidia fulani
Naona mpo serious sana mkuuAcha wivu mzee 😂
Watu wa dasalam hawajawah kuwa seriously kabisaKuna yule kule mwisho kushoto yeye ameamua kugeuza daladala kuwa kitanda 😂
Nimecheka kwa sauti... Amejisalimisha kwa Mola wake.... 🤣Kuna ndugu yako mpemba pale mbezi luis alifungua mgahawa
Baada ya miezi mitatu akakimbia
Siku hizi tumamwona anajiita shehe
Ahahah mkuu wee acha tuu kuna mambo ya ajabu bongo hapaNimecheka kwa sauti... Amejisalimisha kwa Mola wake.... 🤣
Tumeacha sasa mkuuNaona mpo serious sana mkuu
Pengine maneno ya chidbenzi yana ukwel, iyo mbuga nzitoWasalam.
Ndugu jamaa na marafiki.
Hali ya mjini hapa dasalama ni tofauti na nilivofikilia nimeamini mjini pazito 🙌🙌🙌🙌.
Mjini pazito aiseee. yaani nilijua nikishapata biasahara ndo nishamaliza kumbe bado kuna kusugua sana.
Mjini pazito nyie watu hawana huruma kabisa. Bora ningebaki mkoani huko.
Ila ngoja nikaze hivi hivi mpaka kieleweke kikubwa tunapata cha halali....
Kuna time unapitia hata hamu za wanawake unakua huna kabisa kutokana na ugumu wa life hapa dasalamu.
Mjini pazito 🙌 🙌 🙌 🙌
Naunga mkono hoja hii maza, matanzania mengi hayajui tofauti ya R na L, penye R wanaweka L, penye L inapachikwa R. Hii ni mpaka kwa wale wanaojiita wasomi, inatia kichefuchefu sanaHiyo siyo" typing error", "typo" zinafahamika na ujinga unafahamika.
Mtu anaeshindwa kutofautisha hata R na L ni lazima mjini apaone "pazito".
Yote ipo kichwani kwa mtu.
Fikiria sisi tuliozaliwa na kukulia mjini utwambie mjini "pazito", tutakuelewa kweli?
Uzit na wepesi wa maisha upo mawazoni mwetu, siyo uhalisia.
"pazito" pana kilo ngapi na huko kwepesi pana kilo ngapi?
Hakuna namna..... Kifo ndio uhuru kamili.....Ahahah mkuu wee acha tuu kuna mambo ya ajabu bongo hapa
Chidy alisema wasanii wengi wana liwa sijuiPengine maneno ya chidbenzi yana ukwel, iyo mbuga nzito
Mkuu wewe utakuja kuwa mzee wa hovyo sana hapo badae aiseeeTumeacha sasa mkuu
Uhuru wa kweli ni kaburini..Hakuna namna..... Kifo ndio uhuru kamili.....
Nna busara sana mkuu, kanisani kwetu hua natolewa mfano wa kuigwa na mchungaji wetuMkuu wewe utakuja kuwa mzee wa hovyo sana hapo badae aiseee
Mr blue ana kwambia simba watatu wameacha mbugaa😅Chidy alisema wasanii wengi wana liwa sijui
Ili uwe msomu inabidi uwe na vigezo gani.Naunga mkono hoja hii maza, matanzania mengi hayajui tofauti ya R na L, penye R wanaweka L, penye L inapachikwa R. Hii ni mpaka kwa wale wanaojiita wasomi, inatia kichefuchefu sana
Ndo wewe unamwambia mwenzko mchapane kitandani...Nna busara sana mkuu, kanisani kwetu hua natolewa mfano wa kuigwa na mchungaji wetu
Sasa hy tuachie sisi wenyewe, ht ww una busara ila ukiwa na mtu wako ndani busara inageuka kuwa hasaraNdo wewe unamwambia mwenzko mchapane kitandani...
Kweli una busara ahahaha
Mji wa kishenzi huu unaweza kuokota makopo bila kutarajiaNimecheka kwa sauti... Amejisalimisha kwa Mola wake.... 🤣