Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #221
Ndo yule jamaa wa kila mda anabubujikwa na machozi ya furahaWewe na Lucas Msandambwa mmezaliwa pamoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo yule jamaa wa kila mda anabubujikwa na machozi ya furahaWewe na Lucas Msandambwa mmezaliwa pamoja
Mambo ni magumu sana.... Ndio maana watu wengi sasa hivi wanakimbilia pesa za kishirikina... Halafu wanaishia kutapeliwa....Mji wa kishenzi huu unaweza kuokota makopo bila kutarajia
Daaah aiseeeeMambo ni magumu sana.... Ndio maana watu wengi sasa hivi wanakimbilia pesa za kishirikina... Halafu wanaishia kutapeliwa....
Mungu atunusuru na pesa za namna hiyoMambo ni magumu sana.... Ndio maana watu wengi sasa hivi wanakimbilia pesa za kishirikina... Halafu wanaishia kutapeliwa....
Mjini pazito kivipi?....fafanua aiseee.Wasalam Ndugu jamaa na marafiki.
Hali ya mjini hapa Dasalama ni tofauti na nilivofikiria nimeamini mjini pazito 🙌🙌🙌🙌.
Mjini pazito aiseee. yaani nilijua nikishapata biashara ndio nishamaliza kumbe bado kuna kusugua sana.
Mjini pazito nyie watu hawana huruma kabisa. Bora ningebaki mkoani huko.
Ila ngoja nikaze hivi hivi mpaka kieleweke kikubwa tunapata cha halali....
Kuna time unapitia hata hamu za wanawake unakuwa huna kabisa kutokana na ugumu wa life hapa Dasalamu.
Mjini pazito 🙌 🙌 🙌 🙌
Mjini si Dar tu! Acheni uongo uongo! Life is how you make it! Sio lazima kukomaa na Dar wakati unaweza kwenda Mwanza na ukakomaa na kutoboa!Daaah mkuu ni kweli kabisa huku mjini bana ni vile tuna kaa kufata tittle ila hali halisi ndio hvo.
Japo mikoani napo daaah kutoboa kule ni hatari.
Hapa mjini uwezi kuta mtu ana teseka miaka na miaka.
Unapitia kipindi kidogo tu cha kukufunza baada ya hapo unaanza kula matunda ya dunia
Mjini pagumu...Mjini pazito kivipi?....fafanua aiseee.
Wewe wasemaMjini si Dar tu! Acheni uongo uongo! Life is how you make it! Sio lazima kukomaa na Dar wakati unaweza kwenda Mwanza na ukakomaa na kutoboa!
ShukranUwe na amani mkuu tupo pamoja sana 👊👊👊👊
Yani R na L ndio sababu Tanzania bana Ila tutafika tu.Hiyo siyo" typing error", "typo" zinafahamika na ujinga unafahamika.
Mtu anaeshindwa kutofautisha hata R na L ni lazima mjini apaone "pazito".
Yote ipo kichwani kwa mtu.
Fikiria sisi tuliozaliwa na kukulia mjini utwambie mjini "pazito", tutakuelewa kweli?
Uzit na wepesi wa maisha upo mawazoni mwetu, siyo uhalisia.
"pazito" pana kilo ngapi na huko kwepesi pana kilo ngapi?
Huyu maza jau sanaYani R na L ndio sababu Tanzania bana Ila tutafika tu.
Mimi niko hapa Dar kitambo ndo maana Mo Dewji alisema vijana wa Dar wanazidiwa kipato na vijana wa mikoani!Wewe wasema
😄😄Sio powaUnajikuta natural tuu unaokota makopo mkuu sio ahahha
Mbona yeye aendi kuwekeza njombe huko kaweka viwanda vyake dar hapa mkuuMimi niko hapa Dar kitambo ndo maana Mo Dewji alisema vijana wa Dar wanazidiwa kipato na vijana wa mikoani!
Njombe,Kahama ,Mwanza kuna fursa nyingi endeleeni kuamini ujinga wa Mjini wakati hata huko ni mjini tu kwa maana ya huduma zote unapata!
Mkuu acha tuuu ila uzr huku ukija toboa ndo basi tena😄😄Sio powa
Kaka acha uongo Tanzania maisha sio Dar tu!Mbona yeye aendi kuwekeza njombe huko kaweka viwanda vyake dar hapa mkuu
Za kuambiwa changanya na zako
Shangazi wewe hutoi duburi? Hiyo ndio michezo yenu wanawake wa ukanda wa PwaniUsiingizwe chaka tu, siku hizi mjini wanalewa pombe kupitia duburi zao, matokeo ni haya :
View attachment 3024028
Karibu ofisini kwetu, kama una uhitaji KweliMnauza truck ila hamtaji bei.
Walikudanya ukadanganyika.Shangazi wewe hutoi duburi? Hiyo ndio michezo yenu wanawake wa ukanda wa Pwani