Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwel kwa Uganda mtu unatoboa? Au maneno tuBila uchawi utoboi.
Alafu kuna maeneo mengine sijui wazawa hawataki watu wawepo wa biashara kama hizo
DR HAYA LAND
Weka neno mkuu
Nilikuwa napigia nyeto sometimesKwani ile ya mwanzo ilikuwa inakushawishi nini mkuu??
EBu tueleze kwa mapana mkuuNina wiki ya 2 sasa toka nimefunga biashara yangu ngoja nijipange upya kweli mjini pazito asee🙌🙌
Endelea kuotaBaby girl. Njoo tule maisha huku Ibisabageni
Ahahaha sawa sawa
Wewe upo wapi mkuuKaka acha uongo Tanzania maisha sio Dar tu!
Wengi wa vijana ni malimbukeni sana na wengi hawana ndoto wanaishi maisha ya kusadikika!
Dar ni mkoa kama mikoa mingine utofauti wa Dar ni jinsi gani unafanya kazi zako!
Nikukumbushe sehemu kubwa ya shughuli za Dar zinakonection na mikoani kwa hiyo Dar is nothing bila mikoa mingine!
Juzi kati tu hapa Kahama imeongoza Tanzania kwa makusanya ya kikodi unasemaje Dar ni bora kuliko Kahama wakati hata Dar unayokaa ni Mbagala au Kigogo!
Huyu shangzi jau sana mkuuShangazi wewe hutoi duburi? Hiyo ndio michezo yenu wanawake wa ukanda wa Pwani
AhahahaWalikudanya ukadanganyika.
Mwakyembe kwa utafiti kabisa, amesema kitovu cha ushoga na usagaji ni Arusha.
Upo salama kijana?
Maneno tuuHivi kwel kwa Uganda mtu unatoboa? Au maneno tu
Mkuu mimi sotofunga aiseee napambana mpka kieleweke na miezi ya kodi taongeza tuu maisha haya hayaNina wiki ya 2 sasa toka nimefunga biashara yangu ngoja nijipange upya kweli mjini pazito asee🙌🙌
Yaaah mkuu najitahidi kufanya hivo mkuu...Tenga muda wa kuzungumza na mamlaka yako ya juu higher power
Jitahidi uwe mtoaji.
Baada ya hapo be positive usilalamike kwa lolote DSM is cool area everybody can make rich.
Wewe una laanaNilikuwa napigia nyeto sometimes
Niko Kahama! Karibu sana! Ila Dar nimekaa sana na kila mara nakuja ndo maana mnaliongea hapa nalijua!Wewe upo wapi mkuu
Daah takaribia mkuu ila kiukweli kwa kijana anayejitafuta dar panafaa.Niko Kahama! Karibu sana! Ila Dar nimekaa sana na kila mara nakuja ndo maana mnaliongea hapa nalijua!