Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Study inaonesha Wanaume sio waaminifu kwenye usimamizi wa Lodge 🙌Mkuu ukijenga hiyo lodge naomba nipate ata usimamizi hapo nipo vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Study inaonesha Wanaume sio waaminifu kwenye usimamizi wa Lodge 🙌Mkuu ukijenga hiyo lodge naomba nipate ata usimamizi hapo nipo vizuri
Muhimu kuendelea kupambana Mkuu 🙏Tunapanga lakini hapo hapo mji unatupanga mkuu daah
Mimi takua muaninifu mkuu sina la kupoteza mjini hapa..Study inaonesha Wanaume sio waaminifu kwenye usimamizi wa Lodge 🙌
InshaallahMuhimu kuendelea kupambana Mkuu 🙏
Umesema sahihi Mkuu, kwenye ule Uzi wangu wa biashara ya Lodge nilieleza changamoto ya upigaji Kwa wasimamiziMzee mwenzangu,
Umri wetu huu ni kuwa makini na stress tunazozichagua. Usifanye biashara ya kukupa stress. Jamaa yangu alikaa chini akawazaaaa..akaamua kufungua liquor store..mzee hata huko walimpiga. Vijana wanaleta pombe zao kuuza. Mzee anaona shelves zimejaa...kumbe wajanja washafanya yao.
Kama Fundi manyumba alivosema...mji mzito sana.
Biashara ya lodge...itabidi ukae hapo. Vinginevyo utapigwa tuu na wenye nguvu za kukimbia.
Niombee nifanikiwe Mkuu 🙏Mimi takua muaninifu mkuu sina la kupoteza mjini hapa..
Nakuahidi na nipo vizuri kwenye usimamizi
🙏🙏🙏Inshaallah
Amin mkuu nipo pamoja na wewe bega kwa bega .kwa sisi vijana wapambanaji tubapopata fursa lengo letu kubwa linakua ni kufanya kitu ili kilete matokeo mazuri.Niombee nifanikiwe Mkuu 🙏
Yaaah mkuu najitahidi kufanya hivo mkuu...
Wanasema ukiwa unawaza sana negative hata matokeo yatakua hv hvo negative mana issue kubwa hapa ni mind tu ni jinsi gani una i command...
Mi mamlaka yangu ya juu ni my mind mkuu
Mkuu nilifungua biashara ya chips mjini uko ila mambo hayajaniendea vizuri nimeamua nifunge nianze biashara nyingine tu..EBu tueleze kwa mapana mkuu
Pambana mkuuMkuu mimi sotofunga aiseee napambana mpka kieleweke na miezi ya kodi taongeza tuu maisha haya haya
Niliamka saa 10 baby. Siwezi kuota mchanaEndelea kuota
Juma toto iko kunya nenda tawaza,juma iko nyanya isha enda nunua,juma kitoka sokon osha gari,juma iko peleka mama jamatini,juma nenda beba toto shuleNilikimbia kwa wahindi.
Walae jamaa wanajua kutuma mno
OkWasalam Ndugu jamaa na marafiki.
Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria nimeamini mjini pazito 🙌🙌🙌🙌.
Mjini pazito aiseee, yaani nilijua nikishapata biashara ndio nishamaliza kumbe bado kuna kusugua sana.
Mjini pazito nyie watu hawana huruma kabisa. Bora ningebaki mkoani huko.
Ila ngoja nikaze hivi hivi mpaka kieleweke kikubwa tunapata cha halali.
Kuna time unapitia hata hamu za wanawake unakuwa huna kabisa kutokana na ugumu wa life hapa Dasalamu.
Mjini pazito 🙌 🙌 🙌 🙌
Sawa sawa mkuu naelewa sana ushauri wakoYes be positive
Connect ur self with the higher power (God /universe and etc
Practice gratitude /jizoeze kushukuru sema Asante kila Leo.
3rd newtonWhen you steal from other you steal from your self .
Au sio
Ahahahahahah kmmke wale mbwa wale hapana aiseeee.Juma toto iko kunya nenda tawaza,juma iko nyanya isha enda nunua,juma kitoka sokon osha gari,juma iko peleka mama jamatini,juma nenda beba toto shule