Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nini?? We Mbaga umelewa?? πππUkisema kitu ambacho sijakipenda ntakuambia tuu mana ww n mwanamke wangu hvy lazima ukae sehemu salama π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini?? We Mbaga umelewa?? πππUkisema kitu ambacho sijakipenda ntakuambia tuu mana ww n mwanamke wangu hvy lazima ukae sehemu salama π
Acha kuharibu uzi wa watu πUtanichapia kitandani babe
Limeisha, atakupa majibu πππPtuuu
Mfyuuu!! ππππTunalainisha ugumu wa maisha
Nasubir kipigo cha mpenzi kisichoumizaLimeisha, atakupa majibu πππ
π€Acha kuharibu uzi wa watu π
Siku tutoke love tulewe afu tufanye jambo la kuilaumu pombeNini?? We Mbaga umelewa?? πππ
Sahihi Mjukuu, shida ya Mikoani hakuna Mzunguko mkubwa wa hela kama ilivyo hapa DSM.Babu umesema kweli, kuna nyumba tumepangisha 200,000 mkoani ina kila kitu nyumba nzima..!! Nafikiria ingekuwa huku ingenilipa, unaishia kuikopea bank.
Mnauza truck ila hamtaji bei.Habari,
Karibu chianteng limited ni wauzaji wa Truck za HOWO Kwa Bei Nzuri
Pia tunazo SPARE PARTS ZOTE ZA HOWO,
Pia tuna mafundi waliobobea katika utengenezaji wa truck za HOWO.
Karibu sana
πTupo Kurasini opposite na Chuo Cha Diplomasia
βοΈ0748 270 719View attachment 3023979View attachment 3023980View attachment 3023981
Dsm inawazawa sikuhizi?mbona nasikia wazawa wazaramo wamekimbilia huko uswekeni chole kisarawe.Bila uchawi utoboi.
Alafu kuna maeneo mengine sijui wazawa hawataki watu wawepo wa biashara kama hizo
Mimi sinywagi pombe. Nimeokoka nampenda YesuSiku tutoke love tulewe afu tufanye jambo la kuilaumu pombe
Bc twende hata coco kula mihogo πMimi sinywagi pombe. Nimeokoka nampenda Yesu
Unatoa msaada kulingana na ulichonacho, msaada town hautolewi kindezi.Yaani mkuu sijui mi labda nakosea kutafsiri.
Unajua watu hata kutoa msaada kwao ni ngumu licha wanajua hali unayopitia..
Mtu wa namna hiyo ww unamuweka kwenye kundi gani
Baby girl. Njoo tule maisha huku IbisabageniPole Mkuu! Mungu atakusaidia
Hii kitu niliwazaga kuifanya ya lodge/guest house. Nyumba za kupangisha wapangaji wanaharibu nyumba.. halafu haina profit kabisa!! Unaanza kuingia gharama za kukarabati tena.!!Sahihi Mjukuu, shida ya Mikoani hakuna Mzunguko mkubwa wa hela kama ilivyo hapa DSM.
Binafsi nimeachana na biashara ya nyumba za Kupangisha, bora nijikongoje hata miaka 5 kujenga Lodge/Guest Houses tu kuliko nyumba za Kupangisha
Hapo Coco sawa, ππBc twende hata coco kula mihogo π
Safi love, kumbe unajiweza π utaniweka hata hapo reception πHii kitu niliwazaga kuifanya ya lodge/guest house. Nyumba za kupangisha wapangaji wanaharibu nyumba.. halafu haina profit kabisa!! Unaanza kuingia gharama za kukarabati tena.!!
Babu nitakutafuta tushauriane kwa hili, napenda ila ule uthubutu ndo mtiti. Hivi Dom kuko vipi kwa issue km hizo??
Lini sasa loveHapo Coco sawa, ππ