Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Ulianza vizuri kijana 🙃🙄 sima sahivi ushaanza kuharibu mshamba wewe wachie sasa wenzako uome wanavyo toboa
Ndo mana nimeanza na neno wanasema.
Mkuu mimi nakaza sana natafuta kwa halali mpka kieleweke nataka hapo badae niwe mfano kwa vijana wote wa pambanaji mkuu 👊👊👊
 
Sasa kama umekulia mjini uwezi kusoma uzi wote huo we ukafocus kwenye tofauti ya R na L mkuu..
Ndo mana nimesema itakua umeshiba maza au tu ni vile unataka ligi..
Naelezea hali ilivyo hapa mjini wee kama unaona kwako mambo poa we pita hivi
Ukijuwa kuwa "details" ndizo zinabadilisha kila kitu utaelewa namna ya kuishi mjini.
 
Ukijuwa kuwa "details" ndizo zinabadilisha kila kitu utaelewa namna ya kuishi mjini.
Sawa sawa bi mkubwa naelewa sana ushauri wako..
Sema unaniangusha sana unapoanza kufatilia makosa badala ya ku focus na Major content hapo.

Naona kabisa kama unatafuta kitu kukosoa tu
 
Back
Top Bottom