relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,336
- 5,217
Au nae kaamua kumrudia muumba si kwa mzuzu huo.Anaonekana amechoka muonekano wake hauridhishi nini kimempata huyu kijana mwenzetu?View attachment 1118513
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au nae kaamua kumrudia muumba si kwa mzuzu huo.Anaonekana amechoka muonekano wake hauridhishi nini kimempata huyu kijana mwenzetu?View attachment 1118513
KkkkkkkkkNaomba serikali imsaidie huyu ni msukuma mwenzetu
Itakua JingoNi muvi au singo?
Naona sasa umeopoa..hongera sana mkuuRafiki i love you!
Naona sasa umeopoa..hongera sana mkuu
Kwani tuna ugomvi mkuu?[emoji23]Mimi namtaka Mzigua90![emoji41][emoji41][emoji41]
Gwajima anatafuta misukule kama hii apige nayo tukioAnaonekana amechoka muonekano wake hauridhishi nini kimempata huyu kijana mwenzetu?View attachment 1118513
Nilitaka nikuulize umeimba nyimbo ngapi za hipop na ukapata tuzo.....ila basi, nkasema huenda aliyeandika hapa ni Nas/Jay ZSijawahi kumkubali huyu jamaa
Nilitaka nikuulize umeimba nyimbo ngapi za hipop na ukapata tuzo.....ila basi, nkasema huenda aliyeandika hapa ni Nas/Jay ZSijawahi kumkubali huyu jamaa
Kwani tuna ugomvi mkuu?[emoji23]
kwao huko munekezi-geita kuna mtonyo gani?Nahisi kuna ngoma huyo hawezi choka hivyo hata kwao kuna mtonyo wa kutosha kala Jeremiah masanja
Kuna picha moja kapost akiwa makaburini kakumbatia msalabaAnaonekana amechoka muonekano wake hauridhishi nini kimempata huyu kijana mwenzetu?View attachment 1118513
Wabongo buana...acha purupu papara wwSerikali impekeke katika rehab center.Ni ulabu unaomsumbua