Ok, baada ya kufariki maziko yakawa ni kesho yake , so hatukumfanyia treatment yoyote ya mwili ,yani kumchoma sindano au dawa yoyote, wakati amefariki nilikaa naye hapo wodini kitandani kwa muda wa masaa matatu , yani kafariki saa moja usiku, kitendo cha kukubali mwachia awekwe motuary ilikua imesha fika saa nne usiku , so tume kaa naye zaidi ya masaa matatu, kipindi hicho chote hakukakama, ,kesho yake tukaenda chukua mwili , mpaka tuna wingize msikitini tukiwa tume mbeba kwenda kuoshwa alikua laini viungo vina kunjika, so una maana alipo kuwa morturary ali kakamaa na asubuhu ndio aka rudia kuwa laini tena ?