Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hili soko ni Maarufu kama Mahakama ya ndizi , liko Mabibo , Mkoa wa Dar es Salaam , Ushuru unaopatikana kwenye soko hili kwa mwaka ni zaidi ya hela ya madafu Bil 1.2
Toa maoni yako .
================================
WADAU WALALAMIKIA MIUNDOMBINU NA USAFI WA SOKO LA MABIBO
Soko la Mabibo ni moja ya masoko maarufu Mkoani Dar es Salaam hususan katika uuzaji wa ndizi mkoani humo hali inayofanya Wananchi wengi kwenda kupata huduma.
Kutokana na mvua zinazoendelea mkoani humo, hali ya miundombinu na mazingira ya soko hilo imekuwa sio nzuri kwa Wauzaji na Wanunuzi wa bidhaa ambapo tope maji hujaa sehemu kubwa ya soko.
Wadau wanaofanya ununuzi katika soko hilo wamelalamikia hali hiyo huku wakihoji ushuru wanaokatwa Wauzaji unatumika kufanyia nini iwapo soko lipo katika hali mbaya.
Hali ya soko hilo inaweza kusababisha mlipo wa magonjwa mengi ikiwemo Kipindupindu na kuleta athari si tu watumiaji wa soko bali Wananchi wote kwa ujumla.
Pia soma:
www.jamiiforums.com
Toa maoni yako .
================================
WADAU WALALAMIKIA MIUNDOMBINU NA USAFI WA SOKO LA MABIBO
Soko la Mabibo ni moja ya masoko maarufu Mkoani Dar es Salaam hususan katika uuzaji wa ndizi mkoani humo hali inayofanya Wananchi wengi kwenda kupata huduma.
Kutokana na mvua zinazoendelea mkoani humo, hali ya miundombinu na mazingira ya soko hilo imekuwa sio nzuri kwa Wauzaji na Wanunuzi wa bidhaa ambapo tope maji hujaa sehemu kubwa ya soko.
Wadau wanaofanya ununuzi katika soko hilo wamelalamikia hali hiyo huku wakihoji ushuru wanaokatwa Wauzaji unatumika kufanyia nini iwapo soko lipo katika hali mbaya.
Hali ya soko hilo inaweza kusababisha mlipo wa magonjwa mengi ikiwemo Kipindupindu na kuleta athari si tu watumiaji wa soko bali Wananchi wote kwa ujumla.
Pia soma:
Dar: Manispaa ya Ubungo lalitwaa rasmi Soko la Mabibo
CHALAMILA AWASHA MOTO SOKO LA MABIBO UONGOZI WA SOKO LA MABIBO WAVUNJWA HAMUWEZI KUNIPANDA KICHWANI, NINAO UWEZO WA KULIVUNJA SOKO - CHALAMILA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila leo Julai 17, 2023 amevunja uongozi wa Soko la Mabibo na kukabidhi soko hilo kwa Manispaa ya...