Zionist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 1,866
- 2,996
Kamanda upo ? Ratiba yetu ya kula mbuzi choma mnada wa mbuzi pale maili moja kila siku una furugika. Anyway tuombe Mungu tutaonana tu..👍👍Watu wanakula hadi wanavimbiwa halafu hawapajali kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda upo ? Ratiba yetu ya kula mbuzi choma mnada wa mbuzi pale maili moja kila siku una furugika. Anyway tuombe Mungu tutaonana tu..👍👍Watu wanakula hadi wanavimbiwa halafu hawapajali kabisa
Hiyo myuwa ndiyo watu wanapanga foleni kuagiza juice ya myua wakati haioshwi inaparuzwa kidogo tu twende kaziHili soko ni Maarufu kama Mahakama ya ndizi , liko Mabibo , Mkoa wa Dar es Salaam , Ushuru unaopatikana kwenye soko hili kwa mwaka ni zaidi ya hela ya madafu Bil 1.2
View attachment 2211524View attachment 2211526
Toa maoni yako .
Naomba mwalikoKamanda upo ? Ratiba yetu ya kula mbuzi choma mnada wa mbuzi pale maili moja kila siku una furugika. Anyway tuombe Mungu tutaonana tu..[emoji106][emoji106]
Usikonde Bro..👍👍Naomba mwaliko
Warekebishe soko chafu sana,mm niliangika na mizigo yangu kisa tope.sio kabisa.Hili soko ni Maarufu kama Mahakama ya ndizi , liko Mabibo , Mkoa wa Dar es Salaam , Ushuru unaopatikana kwenye soko hili kwa mwaka ni zaidi ya hela ya madafu Bil 1.2
View attachment 2211524View attachment 2211526
Toa maoni yako .
Pole sanaWarekebishe soko chafu sana,mm niliangika na mizigo yangu kisa tope.sio kabisa.
[emoji38][emoji38][emoji38]Hili soko ni Maarufu kama Mahakama ya ndizi , liko Mabibo , Mkoa wa Dar es Salaam , Ushuru unaopatikana kwenye soko hili kwa mwaka ni zaidi ya hela ya madafu Bil 1.2
![]()
Mzee na ndizi zake kakaa kabisa anaangalia zege mbele yake kama anaangalia mpira vile [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Dedham haidhinishi Mnyika wala Jacob.Du, hili soko Mhe. Mnyika na meya Jocob wameikuta hivyo na kuiacha hivyo hivyo. Very sad.
Fedha haidhinishi na kuzitoa mnyika wala jacobDu, hili soko Mhe. Mnyika na meya Jocob wameikuta hivyo na kuiacha hivyo hivyo. Very sad.
Afu mpo bize kujitangaza na kuimba royal tour. Mtalii gani atakuja kuangalia uchafu huo?Hili soko ni Maarufu kama Mahakama ya ndizi , liko Mabibo , Mkoa wa Dar es Salaam , Ushuru unaopatikana kwenye soko hili kwa mwaka ni zaidi ya hela ya madafu Bil 1.2
View attachment 2211524View attachment 2211526
Toa maoni yako .
Mamakee ushakuwa chronic mkuuNimesha maliza hizo nne, wife ana mind, ngoja nilale. Namuheshimu sana
Katiba mpya.Sasa wanasubiri nini kuliboresha?
Du, hili soko Mhe. Mnyika na meya Jocob wameikuta hivyo na kuiacha hivyo hivyo. Very sad.