Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wakubwa wanapamezea mate !!Mgogoro upi?
'Mamake, hili ni soko la mabibo kweli, si Kigoma hapa?Hili soko ni Maarufu kama Mahakama ya ndizi , liko Mabibo , Mkoa wa Dar es Salaam , Ushuru unaopatikana kwenye soko hili kwa mwaka ni zaidi ya hela ya madafu Bil 1.2
View attachment 2211524View attachment 2211526
Toa maoni yako .
Wacha maneno mama yupo kaziniHili soko ni Maarufu kama Mahakama ya ndizi , liko Mabibo , Mkoa wa Dar es Salaam , Ushuru unaopatikana kwenye soko hili kwa mwaka ni zaidi ya hela ya madafu Bil 1.2
View attachment 2211524View attachment 2211526
Toa maoni yako .
Hili wakichoma moto haliunguiHili soko ni Maarufu kama Mahakama ya ndizi , liko Mabibo , Mkoa wa Dar es Salaam , Ushuru unaopatikana kwenye soko hili kwa mwaka ni zaidi ya hela ya madafu Bil 1.2
View attachment 2211524View attachment 2211526
Toa maoni yako .
😎😎😎Mamakee ushakuwa chronic mkuu
Yes, takataka Kama hizi nikuzi ignoreMaoni yako yamepokelewa
......eti limeongeza ajira mpya.......Hili soko ni Maarufu kama Mahakama ya ndizi , liko Mabibo , Mkoa wa Dar es Salaam , Ushuru unaopatikana kwenye soko hili kwa mwaka ni zaidi ya hela ya madafu Bil 1.2
View attachment 2211524View attachment 2211526
Toa maoni yako .
Du, hili soko Mhe. Mnyika na meya Jocob wameikuta hivyo na kuiacha hivyo hivyo. Very sad.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hili hata wakilichoma moto haliungui
Picha ya zamani hiyoo
ItakuaLabda wakubwa wanapamezea mate !!
Ndio suluhisho?Katiba mpya.
Ndiyo ninavyosikia kukiwa na katiba mpya, hata kazi hatufanyi tena tunakula na kusaza tu. Katiba italeta pia mafuta ya buree. Mimi nataka hiyo malalamiko yataisha.Ndio suluhisho?
Tangia 2020 hadi leo limeboreshwa na kuwa hivyo lilivyo sasa!Kweli CCM ni chama kinachojali na ndiyo maana Mama anaupiga mwingi?Du, hili soko Mhe. Mnyika na meya Jocob wameikuta hivyo na kuiacha hivyo hivyo. Very sad.
It'll always remain theoretically but never practicallyNdiyo ninavyosikia kukiwa na katiba mpya, hata kazi hatufanyi tena tunakula na kusaza tu. Katiba italeta pia mafuta ya buree. Mimi nataka hiyo malalamiko yataisha.
Solution ni Katiba mpya, pesa zote za masoko madogo ushuru ibaki kuboresha miundombinuHili soko ni Maarufu kama Mahakama ya ndizi , liko Mabibo , Mkoa wa Dar es Salaam , Ushuru unaopatikana kwenye soko hili kwa mwaka ni zaidi ya hela ya madafu Bil 1.2
View attachment 2211524View attachment 2211526
Toa maoni yako .
================================
WADAU WALALAMIKIA MIUNDOMBINU NA USAFI WA SOKO LA MABIBO
Soko la Mabibo ni moja ya masoko maarufu Mkoani Dar es Salaam hususan katika uuzaji wa ndizi mkoani humo hali inayofanya Wananchi wengi kwenda kupata huduma.
Kutokana na mvua zinazoendelea mkoani humo, hali ya miundombinu na mazingira ya soko hilo imekuwa sio nzuri kwa Wauzaji na Wanunuzi wa bidhaa ambapo tope maji hujaa sehemu kubwa ya soko.
Wadau wanaofanya ununuzi katika soko hilo wamelalamikia hali hiyo huku wakihoji ushuru wanaokatwa Wauzaji unatumika kufanyia nini iwapo soko lipo katika hali mbaya.
Hali ya soko hilo inaweza kusababisha mlipo wa magonjwa mengi ikiwemo Kipindupindu na kuleta athari si tu watumiaji wa soko bali Wananchi wote kwa ujumla.
CCM NAMBARI 1Hio hali inasikitisha.