Enzi za ujana mkuu! Si unajua ujana maji ya Moto? Ila ni hatari ngono sio diliAisee inaoneka wee mdau kabisa...hivi kaumba bado wapo?
Weka picha ya kada pamoja sasa!Nimetembelea minada kadha kadha ya korosho huku kusini. Kuna ufuska wa kiwango cha lami. Wadada kibao wanajiuza huku. Vingine vitoto vidogo kabisa ambavyo sidhani hata kama vina miaka 17.
Kwa staili hii Ukimwi utakwisha kweli?
Penye pesa hayo mambo hayakosekani. Lakini pia kuna hili la jamii ya huko, nadhani wengi mnaijua jamii za huko zinavyo inspire mambo kama hayoNimetembelea minada kadha kadha ya korosho huku kusini. Kuna ufuska wa kiwango cha lami. Wadada kibao wanajiuza huku. Vingine vitoto vidogo kabisa ambavyo sidhani hata kama vina miaka 17.
Kwa staili hii Ukimwi utakwisha kweli?
🤣🤣🤣🤣Apo kuna wanaume watarudi nyumban hawana kitu wakisingizia wametapeliwa
🤣🤣🤣Korosho zinasababisha nyege
Sahihi kabisaPenye pesa hayo mambo hayakosekani. Lakini pia kuna hili la jamii ya huko, nadhani wengi mnaijua jamii za huko zinavyo inspire mambo kama hayo
Fanya uliloendea kama umeshindwa kuwauliza changamoto zao na kumtatulia hata mmoja kati yao basi busara uchune ukifatilia sana unaweza ukajikuta unatamani wanachofanya nawe ukaunga tela kutafuta wateja.Nimetembelea minada kadha kadha ya korosho huku kusini. Kuna ufuska wa kiwango cha lami. Wadada kibao wanajiuza huku. Vingine vitoto vidogo kabisa ambavyo sidhani hata kama vina miaka 17.
Kwa staili hii Ukimwi utakwisha kweli?
Wapeleke ndoms za kutosha huko.Nimetembelea minada kadha kadha ya korosho huku kusini. Kuna ufuska wa kiwango cha lami. Wadada kibao wanajiuza huku. Vingine vitoto vidogo kabisa ambavyo sidhani hata kama vina miaka 17.
Kwa staili hii Ukimwi utakwisha kweli?
KabisaWapeleke ndoms za kutosha huko.
AiseeFanya uliloendea kama umeshindwa kuwauliza changamoto zao na kumtatulia hata mmoja kati yao basi busara uchune ukifatilia sana unaweza ukajikuta unatamani wanachofanya nawe ukaunga tela kutafuta wateja.
We ulitakajeSasa ulitakaje?
Imekuwa kama mikusanyiko ya mikesha ya mwenge wa uhuru, maana huko huwa ni hatari kwa kuchakazanaNimetembelea minada kadha kadha ya korosho huku kusini. Kuna ufuska wa kiwango cha lami. Wadada kibao wanajiuza huku. Vingine vitoto vidogo kabisa ambavyo sidhani hata kama vina miaka 17.
Kwa staili hii Ukimwi utakwisha kweli?
Kabisa mkuuImekuwa kama mikusanyiko ya mikesha ya mwenge wa uhuru, maana huko huwa ni hatari kwa kuchakazana
Mh, nilijua tu Uzi huu hautokosa mijamaa ya kujifanya kujipaisha kama huyu. Unatoka wapi mkuu Tz hii ambako hakuna Malaya?!!!Penye pesa hayo mambo hayakosekani. Lakini pia kuna hili la jamii ya huko, nadhani wengi mnaijua jamii za huko zinavyo inspire mambo kama hayo
Au sio?Mh, nilijua tu Uzi huu hautokosa mijamaa ya kujifanya kujipaisha kama huyu. Unatoka wapi mkuu Tz hii ambako hakuna Malaya?!!!