Kwa sasa hali ni ngumu sana mtaani kiusalama hasa sisi wafanyabiashara hali ni tete.
Juzi mwenzetu anaeyejihusisha na Mobile money Transction amenusirika kuuawa baada ya kukwepa risasi iliyoelekezwa kwenye paji lake la uso na kwa bahati nzuri ikampata maeneo ya mkononi na paja lake la kushoto na majambazi wakafanikiwa kuondoka na zaidi ya milioni 30.
Nini kimebadilika sasa mpaka hawa jamaa wamerudi kwa kasi hivi? Pamoja kwamba nilikuwa siafikiani na sera za Magufuli za kikatili lakini hawa majambazi walikuwa hawafurukuti na kusikika kipindi chake.
Sasa ni kama Waziri wa Mambo ya Ndani na IGP Simon Sirro wameamua kushirikiana na majambazi ama MAJAMBAZI ni polisi wenyewe sasa wameona uwanja uko wazi wameamua kurudi ulingoni.
Haiwezekani matukio yaliyokuwa yamepotea sasa yanarudi kwa kasi
Juzi mwenzetu anaeyejihusisha na Mobile money Transction amenusirika kuuawa baada ya kukwepa risasi iliyoelekezwa kwenye paji lake la uso na kwa bahati nzuri ikampata maeneo ya mkononi na paja lake la kushoto na majambazi wakafanikiwa kuondoka na zaidi ya milioni 30.
Nini kimebadilika sasa mpaka hawa jamaa wamerudi kwa kasi hivi? Pamoja kwamba nilikuwa siafikiani na sera za Magufuli za kikatili lakini hawa majambazi walikuwa hawafurukuti na kusikika kipindi chake.
Sasa ni kama Waziri wa Mambo ya Ndani na IGP Simon Sirro wameamua kushirikiana na majambazi ama MAJAMBAZI ni polisi wenyewe sasa wameona uwanja uko wazi wameamua kurudi ulingoni.
Haiwezekani matukio yaliyokuwa yamepotea sasa yanarudi kwa kasi