Jana nimeanza kutafuta Generator ,biashara yangu kwa mwezi sasa imekuwa na changamoto kubwa sana ya umeme nimepata hasara ambayo siwezi kui cover kirahisi kabisa Tanesco tatizo nini jamani?
Tunaomba basi Waziri zungumza na Taifa nini chanzo umeme kuwa tatizo?
Sifikirii 2023 kupata changamoto ya umeme naona ni kama uzembe sana TISS mko wapi haya mambo mbona madogo sana kwa mataifa yanayojua maendeleo ni nini?
Tunaomba basi Waziri zungumza na Taifa nini chanzo umeme kuwa tatizo?
Sifikirii 2023 kupata changamoto ya umeme naona ni kama uzembe sana TISS mko wapi haya mambo mbona madogo sana kwa mataifa yanayojua maendeleo ni nini?