Wizara inaongozwa na muhuni unategemea nini?
Isijekua muhuni nae anahujumiwa na wajanja!!?Wizara inaongozwa na muhuni unategemea nini?
Na mkoa sehemu ambayo nimekwenda umeme ni tatizo ni Turiani wilaya ya Mvomero, umeme ni shida sana, Yani kwakweli Tanesco waliangalie hili.Jana nimeanza kutafuta Generator ,biashara yangu kwa mwezi sasa imekuwa na changamoto kubwa sana ya umeme nimepata hasara ambayo siwezi kui cover kirahisi kabisa Tanesco tatizo nini jamani?
Tunaomba basi Waziri zungumza na Taifa nini chanzo umeme kuwa tatizo?
Sifikirii 2023 kupata changamoto ya umeme naona ni kama uzembe sana TISS mko wapi haya mambo mbona madogo sana kwa mataifa yanayojua maendeleo ni nini?
Well saidNnachojua mimi mkoa wa Mara pamoja na mikoa mingine Tanzania kuna maboresho ya miundombinu ya umeme msongo wa kati......yani medium voltage lines.
Maboresho haya yanafanywa mchana, umeme lazima ukatwe, na imeamuriwa umeme ukatwe siku 3 tu kwa week.
Huna haja ya kununua generator, hiyo hali itaisha ndani ya mwezi mmoja.
Hujui ulisemalo.Nnachojua mimi mkoa wa Mara pamoja na mikoa mingine Tanzania kuna maboresho ya miundombinu ya umeme msongo wa kati......yani medium voltage lines.
Maboresho haya yanafanywa mchana, umeme lazima ukatwe, na imeamuriwa umeme ukatwe siku 3 tu kwa week.
Huna haja ya kununua generator, hiyo hali itaisha ndani ya mwezi mmoja.
Najua vyema nisemalo......Hujui ulisemalo.