Hali ya umeme yawa ya matumaini baada ya juhudi za Serikali pamoja na mvua kuanza kunyesha maeneo mbalimbali nchini

Hali ya umeme yawa ya matumaini baada ya juhudi za Serikali pamoja na mvua kuanza kunyesha maeneo mbalimbali nchini

Sasa hapa tunabishana Nini mkuu? Wewe si ulikuwa unapinga kuwa mbolea ya DAP ya Ruzuku haiuzwi kwa elfu 70? Mimi nimekupa utaratibu ambao wakulima tulikuwa tunaufuata kuipata mbolea hiyo na nimegundua wewe hata kilimo huelewi kikoje na mambo yapoje katika secta hii,ndio maana unakuwa mbishi bila sababu ilimradi tu uonekane umepinga
Mimi ni mkulima. Naelewa vema. Ninapinga uingo wako kwamba mbolea imepungua hadi 70 elfu.

Kilichofanyika hapa ni kuongeza kodi kwenye huduma za jamii halafu mmeifanyia biashara ya kuuza mbolea kwa bei ya juu zaidi na kujifanya mmetoa ruzuku.

Hapa hakuna ruzuku, bei ni ileile isipokuwa mmechukua hela yangu mkanilipia halafu iliyobaki nipe mimi.

Huu ni mpango wa wizi mkubwa zaidi kuwahi kufanyika kwenye sekta ya kilimo.

Bei ya mbolea iko juu sana Tanzania.
 
Mimi ni mkulima. Naelewa vema. Ninapinga uingo wako kwamba mbolea imepungua hadi 70 elfu.

Kilichofanyika hapa ni kuongeza kodi kwenye huduma za jamii halafu mmeifanyia biashara ya kuuza mbolea kwa bei ya juu zaidi na kujifanya mmetoa ruzuku.

Hapa hakuna ruzuku, bei ni ileile isipokuwa mmechukua hela yangu mkanilipia halafu iliyobaki nipe mimi.

Huu ni mpango wa wizi mkubwa zaidi kuwahi kufanyika kwenye sekta ya kilimo.

Bei ya mbolea iko juu sana Tanzania.
Embu nijibu mbolea ya DAP ya Ruzuku inauzwa shillingi ngapi?
 
Ndugu zangu kwa Sasa Hali ya umeme inarejea katika Hali yake ya kawaida,kwa Sasa shughuli za kiuchumi zinazotegemea umeme zinakwenda vyema, Mioyo ya wananchi wajasiriamali na wafanyabiashara imeanza kuwa
na Tabasamu na matumaini ya kufanya kazi muda wote,Taa ya Matumaini inawaka mioyoni mwa watu Sasa, Giza linazidi kusogezwa mbali,mitaa inazidi kuwa na mwanga na kuchangamka muda wote, sauti za manung'uniko ya umeme zinapungua na Kuisha.

Sasa Ni pongezi kwa serikali ya mh Rais Wetu mpendwa Dr Samia kwa juhudi zake kubwa za kukabiliana na tatizo hili pamoja Na shukurani kwa Mwenyezi Mungu kwa kutushushia Neema Na Baraka za Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi, ambapo hata hapa napoandika mvua kubwa inaendelea kunyesha huku niliko mkoani kwangu. Hakika serikali yetu imepambana,imejitahidi kwa nguvu zake zote, kwa nyenzo zote katika wakati wote ambao tulikuwa tunapitia katika kipindi Cha ukame wa mvua kulikopelekea kupungua kwa kina Cha maji katika mabwawa yetu ya kuzalisha umeme.

Hongera kwetu watanzania kwa mioyo yetu ya Subira uvumilivu na usikivu kwa serikali yetu kwa kipindi chote Cha changamoto hii ya umeme,kwa namna ambavyo tuliungana na kuielewa serikali yetu juu ya chanzo Cha changamoto hiyo ya umeme iliyokuwa imetokana na ukame mkubwa uliokuwa umeikumba nchi yetu.

Hata hivyo Inawezekana Kuna maeneo kukawa na kukatika kwa muda mfupi kwa umeme Jambo ambalo naamini haiwezi ikawa Kama awali,hivyo Tuwe wenye Subira na uvumilivu Kama awali huku tukiendelea kuiamini serikali yetu, maana Tumeona namna inavyo pambana pamoja na juhudi zake katika katika kukabiliana na changamoto ya aina yoyote inayojitokeza mbele yetu Kama Taifa.

Watanzania Hatuna budi Kuendelea kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa upendo wake kwetu watanzania kwa kutupatia Baraka na Neema ya mvua katika kipindi hiki, zitakazo saidia kumaliza changamoto hii ya umeme,Hakika Mwenyezi Mungu anatupenda Sana watanzania, Tuendelee kumwomba Mwenyezi Mungu aendelee kulilinda Taifa letu na Wala Tusikubali mtu yeyote akatugawa kwa misingi ya udini,ukabila au ukanda. Tuwe wamoja na Tumuunge mkono Rais wetu mpendwa Dr Mama Samia Suluhu Hassan na serikali yake katika kututumikia watanzania.

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Namba za simu ni za nini sasa? Vijana mnajua kupambania fursa 🤣🤣🤣
 
Niliko Mimi Hali ya Umeme imeanza kurejea na kuwa ya Matumaini ,mfano kuanzia ijumaa umeme upo muda wote na hata hapa napoandika umeme upo na tunajiandaa kwenda kuangalia mpira baadaye
Sasa hapa ndo umedhihirisha una ugonjwa wa akili. km huko uliko kuna umeme ndo unakuja kusifia hapa hali imetengemaa kweli? Umefanya research ya maeneo mengine???? Hapa tanki bovu karibu na kambi ya jeshi umeme unakatika balaaaa hata jana ulikuwa umekatika siku nzima una mpya gani ya kueleza? Acha ujinga aseee
 
Sasa hapa ndo umedhihirisha una ugonjwa wa akili. km huko uliko kuna umeme ndo unakuja kusifia hapa hali imetengemaa kweli? Umefanya research ya maeneo mengine???? Hapa tanki bovu karibu na kambi ya jeshi umeme unakatika balaaaa hata jana ulikuwa umekatika siku nzima una mpya gani ya kueleza? Acha ujinga aseee
Ndio nimefanya utafiti ambao umenifanya nieleze hicho nilichokieleza
 
Fikra za mtanzania ni kushukuru baada ya kupigwa, fikra za kitumwa!
 
Ndio nimefanya utafiti ambao umenifanya nieleze hicho nilichokieleza
Utafiti wa kijijini kwenu ukatosha kugenerelize Tanzania nzima? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyie ndo wapika data mpka zinaungua Acha ujinga
 
Utafiti wa kijijini kwenu ukatosha kugenerelize Tanzania nzima? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyie ndo wapika data mpka zinaungua Acha ujinga
Kwani Tanzania I a vijiji vingapi? Hujuwi kuwa vipo zaidi ya elfu 16? Unafikiri Ni vichache hivyo hata ningekuwa nimefanyia kijijini pekee?
 
Acha kusema uongo.kwa sasa hali ya umeme ni mbaya sana.hapa tu dar kila Siku wanakata.Mradi wa umeme vijijini umekufa toka mzalendo afariki na IPTL imeingia mzigoni na muda si mrefu gharama za umeme zitaongezeka
 
Acha kusema uongo.kwa sasa hali ya umeme ni mbaya sana.hapa tu dar kila Siku wanakata.Mradi wa umeme vijijini umekufa toka mzalendo afariki na IPTL imeingia mzigoni na muda si mrefu gharama za umeme zitaongezeka
Acha uongo wako hapa hizo gharama utapandisha wewe au unafikiri zinapanda kiholela tu bila utaratibu
 
Ndugu zangu kwa Sasa Hali ya umeme inarejea katika Hali yake ya kawaida,kwa Sasa shughuli za kiuchumi zinazotegemea umeme zinakwenda vyema, Mioyo ya wananchi wajasiriamali na wafanyabiashara imeanza kuwa
na Tabasamu na matumaini ya kufanya kazi muda wote,Taa ya Matumaini inawaka mioyoni mwa watu Sasa, Giza linazidi kusogezwa mbali,mitaa inazidi kuwa na mwanga na kuchangamka muda wote, sauti za manung'uniko ya umeme zinapungua na Kuisha.

Sasa Ni pongezi kwa serikali ya mh Rais Wetu mpendwa Dr Samia kwa juhudi zake kubwa za kukabiliana na tatizo hili pamoja Na shukurani kwa Mwenyezi Mungu kwa kutushushia Neema Na Baraka za Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi, ambapo hata hapa napoandika mvua kubwa inaendelea kunyesha huku niliko mkoani kwangu. Hakika serikali yetu imepambana,imejitahidi kwa nguvu zake zote, kwa nyenzo zote katika wakati wote ambao tulikuwa tunapitia katika kipindi Cha ukame wa mvua kulikopelekea kupungua kwa kina Cha maji katika mabwawa yetu ya kuzalisha umeme.

Hongera kwetu watanzania kwa mioyo yetu ya Subira uvumilivu na usikivu kwa serikali yetu kwa kipindi chote Cha changamoto hii ya umeme,kwa namna ambavyo tuliungana na kuielewa serikali yetu juu ya chanzo Cha changamoto hiyo ya umeme iliyokuwa imetokana na ukame mkubwa uliokuwa umeikumba nchi yetu.

Hata hivyo Inawezekana Kuna maeneo kukawa na kukatika kwa muda mfupi kwa umeme Jambo ambalo naamini haiwezi ikawa Kama awali,hivyo Tuwe wenye Subira na uvumilivu Kama awali huku tukiendelea kuiamini serikali yetu, maana Tumeona namna inavyo pambana pamoja na juhudi zake katika katika kukabiliana na changamoto ya aina yoyote inayojitokeza mbele yetu Kama Taifa.

Watanzania Hatuna budi Kuendelea kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa upendo wake kwetu watanzania kwa kutupatia Baraka na Neema ya mvua katika kipindi hiki, zitakazo saidia kumaliza changamoto hii ya umeme,Hakika Mwenyezi Mungu anatupenda Sana watanzania, Tuendelee kumwomba Mwenyezi Mungu aendelee kulilinda Taifa letu na Wala Tusikubali mtu yeyote akatugawa kwa misingi ya udini,ukabila au ukanda. Tuwe wamoja na Tumuunge mkono Rais wetu mpendwa Dr Mama Samia Suluhu Hassan na serikali yake katika kututumikia watanzania.

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Kuna story moja ya manyani. Kila mvua ikinyesha usiku wakati yakiwa yamelala utayasikia yanaguna na kusema , mhuuu, kesho lazima tujenge nyumba, mhhhuuu kesho lazima tujenge nyumba. Kunapokucha, jua likitoka yanasahau na kuendelea na shughuli za kutafuta chakula. Yatasahau ajenda ya nyumba kabisa mpaka pale yatakaponyeshewa tena ndiyo yataanza tena kusema, kesho lazima tujenge nyumba. Na sisi tumekuwa hivyo. Tangu nikiwa mdogo mpaka sasa hivi matatizo ya umeme na maji hutokea kwa kujirudia na yanapotokea ndiyo tunakuja na plan mfu, yakiisha tunasahu. Kweli kesho kesho ni ya manyani.
 
Kuna story moja ya manyani. Kila mvua ikinyesha usiku wakati yakiwa yamelala utayasikia yanaguna na kusema , mhuuu, kesho lazima tujenge nyumba, mhhhuuu kesho lazima tujenge nyumba. Kunapokucha, jua likitoka yanasahau na kuendelea na shughuli za kutafuta chakula. Yatasahau ajenda ya nyumba kabisa mpaka pale yatakaponyeshewa tena ndiyo yataanza tena kusema, kesho lazima tujenge nyumba. Na sisi tumekuwa hivyo. Tangu nikiwa mdogo mpaka sasa hivi matatizo ya umeme na maji hutokea kwa kujirudia na yanapotokea ndiyo tunakuja na plan mfu, yakiisha tunasahu. Kweli kesho kesho ni ya manyani.
Kwani unafikiri idadi ya watu ipo pale pale tangia unazaliwa? Jiulize kwenye familia yenu wakati unazaliwa mlikuwa wangapi na Sasa mpo wangapi? Jiulize tulipokuwa tunapata Uhuru tulikuwa wangapi na Sasa tupo wangapi? Kama watu tunaongezeja unafikiri Mahitaji yatabaki palepale?
 
Pole mkuu hata hivyo Hali kwa Sasa Ni ya Matumaini na faraja ukilinganisha na awali ,mgao siyo mjali Sana na naamini halini akwenda kuwa njema Sana siku chache zijazo kutokana na uwingi wa mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali

Mgao umekuwa mkali zaidi kuliko hapo mwanzo wakati mvua hazijaanza kunyesha...

Sasa hv mpaka saa sita usiku na ni mara mbili au tatu kwa wiki...
 
Back
Top Bottom