Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kwa maji tuliyonayo inashangaza sana kushindwa ku ya pump yafike majumbani.Hii nchi, miaka 60 ya uhuru lakini hata basic need kama maji tumeshindwa kusolve, hivi ni nani aliyeturoga?
Kenya wana katiba mpya na bora kuliko lakini wanashida ya maji hatari..... afadhali hata ya TZ.Shida ni Katiba, tunataka Katiba mpya...
Enzi za mwendazake kwani walikuwa wanatumia katiba gani? Hapa hatuna rais tumepigwa.Shida ni Katiba, tunataka Katiba mpya...
Bila katiba Mpya hao akina Awesu sijui watafanya wanavyotakaShida ni Katiba, tunataka Katiba mpya...
Lakini wana amani na raha.Kenya wana katiba mpya na bora kuliko lakini wanashida ya maji hatari..... afadhali hata ya Tanzania.
usikriri mambo na kufuata upepo, wala usidanganywe na wanasiasa eti katiba mpya ndio itachimba visima na kutandza mabomba.
Katiba mpya sio mwarobaini.
Kivuli cha Jpm kitaendelea kutesa !!Ndugu Waziri wa maji
Hali ya upatikanaji maji katika baadhi ya maeneo katika mkoa wa Dar imekuwa ni shida.
Majuzi DAWASA walitoa taarifa kuwa maji yangekatika kwa siku moja kupisha matengenezo, lakini leo tunakwenda siku ya tano hakuna maji, hivi mnataka sisi tuishije?
Wakati mwingine muwe mnaona aibu na muwe considerate katika maamuzi yenu. Katika hali ya kawaida
Chukulia mfano wa maeneo ya Sinza survey, hali imekuwa mbaya sana na DAWASA haitoi taarifa yoyote juu ya hali hiyo.
Ndugu waziri tunataka maji acheni longolongo, mbona wakati wa Magufuli haya mambo ya ajabuajabu yalikuwa hakuna, mnakwama wapi?
Kenya wana katiba mpya na bora kuliko..........lakini wanashida ya maji hatari..... afadhali hata ya TZ.
usikriri mambo na kufuata upepo, wala usidanganywe na wanasiasa eti katiba mpya ndio itachimba visima na kutandza mabomba.
Katiba mpya sio mwarobaini.
Mh...kwa hiyo ndiyo italeta maji au na wanaohujumu wataacha kufanya hivyoShida ni Katiba, tunataka Katiba mpya...
Kwahiyo nyumba nyingi dar zipo kama mboga, zina chumvi balaaKuna wakati Dar ilikua ukijenga nyumba unaanza kuchimba kisima kabisa cha maji. Unapata maji yenye chumvi lakini una uhakika nayo.
Na limao piaKwahiyo nyumba nyingi dar zipo kama mboga, zina chumvi balaa