Hali ya Usafiri wa Mwendokasi Mbezi Luis asubuhi ya leo ni shida kama zote

Samahani jamani kwa kutoka nje ya mada Hv yule mwanamziki pale mbeya aliimba viongozi wananatuona sisi nyani alishafungwa au bado. Mwanamziki mjinga sana yule. Anatukana viongozi wetu.
Babake walishampiga mvua tatu. Yeye sijui labda kesi bado ipo mahakamani 😁
 
Naomba mheshimiwa Rais anipe ukuu wa hili shirika niendeshe,probation miezi 12,akiona sina ufanisi anirudishe ninapofanya kazi na anishushe pia;

Kuna shida nchi hii zinatengenezwa tu na watu wachache!
Hutaweza....

Sana sana ukizembea system itakuondoa na tunaimba 🎶🎶parapanda italia parapanda🎶🎶 mapema tu 😁
 
Na tena kibaya hao wapigaji Serikalini wanapeleka hela kwa mishangingi ya mjini. Wanawajengea mijengo na hela za kutanulia
 
 
Maboresho yanayotakiwa kufanyika katika mradi wa mabasi yaendayo haraka Bus rapid transit (BRT) jijini Dar es Salaam.


Nimebaini changamoto kadhaa zinazotakiwa kutatuliwa katika mradi huu.


Hivyo nimemshauri juu ya maboresho yanayotakiwa kufanywa katika mradi huu. Pitia katika link hii kusoma ushauri wote: Kwako Mkurugenzi mpya wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART): Katatue changamoto zifuatazo….


Pia michango mbalimbali imetolewa na wadau wengine na wameshauri jinsi ambavyo mfumo wa uendeshaji wa haya mabasi unapaswa kuwa ili kwendana na ukuaji wa teknolojia:


Ushauri wote tumeuandika hapa: Kwako Mkurugenzi mpya wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART): Katatue changamoto zifuatazo….
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…