pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Tukutane 2022 mkuuKenya is rolling out its national electricity program in half the time it took America-Quartz Hii hapa link ya source yangu kuhusu takwimu za usambazaji wa umeme Kenya. As at Dec. 2016 ilikuwa 55%, usambazaji wa umeme Tz as at Dec. 2016 ulikuwa 32.8%. Swali langu ni lile lile. Tuna nini cha kujifunza kutoka kwa Tz?
Tujifunze nini? Hizo takwimu zinaonesha TANZANIA MAINLAND (hawajaeka Zanzibar, ingekuwa chini zaidi ya hiyo) 32.8% as at Dec 2016! Kenya, kama source yangu hapo juu inavoeleza, usambazaji ulikuwa 55%, hiyo ni December 2016 pia. Unajifanya una kengeza kama mwenzako?Ahhha hhaa hapo ndio kuna point unamiss,sikia hii,ukisikia Tanzania umeme vijijini ni 36% maana yake Tanzania umeme coverage iko kwenye 50% kama sio 60%.vijijini maana yake Mwanza, Mbeya,Arusha,Tanga ,Mbeya and all the metropos zinakuwa hazijawa included,as per today umeme Tanzania umeme vijiji 8000 hazijui kuwasha vibatari maana umeme upo Kila sehem na mwaka huu lap ya mwisho kuvifikia vijiji 4000 or less ndo umeanza,leteni shirika lenu la stima waje
Have you read and understood the report you have posted?
Ninarudia tena, wewe ni mjinga sana, endelea kunyonya maziwa ya mbwa koko. Hii source inatoa taarifa ya serikali kuhusu usambazaji umeme, na huyo hapo chini ni mwandishi(Journalist), anayetoa view zake kutokana na hiyo taarifa ya serikali kuonyesha wasiwasi wake, kwanini umeamua kuacha kuisikiliza serikali, na badala yake unataka kumsikiliza mtu binafsi?. Ngoja nikuletee habari za baadhi wa journalists wa Kenya wanaopinga taarifa za serikali ya Kenya kuhusu barabara na idadi ya wakenya waliounganishwa na umeme kama Jubilee inavyodai, je utaamini taarifa za Jubilee au hao journalists wanaozipinga?, acha ujinga.Sina haja ya kubishana kama watoto link umeieka mwenyewe. Taarifa yenyewe naona imeandikwa na watanzania. Isome kutoka mwanzo hadi mwisho. Inasema hamna cha 67.5% kwenye usambazaji wa umeme Tz wala nini! Taarifa yenyewe inasema kwamba usambazaji wa umeme Tz ni 32.8% as at Dec. 2016! Kama huelewi kiingereza sema! mwathadan, please help me educate this bugger!
What's happening in 2022?Tukutane 2022 mkuu
Asante sana mleta mada MSAGA SUMU, kwa kukubali kwamba tupo mbali sana kama Kenya ikifika ni kwenye usambazaji wa umeme. Waeleze wenzako sasa! Hizo ni takwimu za Dec. 2016, 55%! Ulidhani nadanganya nikisema kwamba Desemba 2017 tulikuwa tumefikia 67%? Haya basi tukutane 2022, ikumbukwe kuwa mradi wa 'last mile' bado unaendelea Kenya. Wananuia kufikia 'universal connectivity', huo ni usambazaji wa umeme wa 95%+ kabla ya 2022. Mungu atujaalie mema. Kenya hoyee!Tukutane 2022 mkuu
Lying to the President: How Kenya Power managers cooked Last Mile connection figuresTujifunze nini? Hizo takwimu zinaonesha TANZANIA MAINLAND (hawajaeka Zanzibar, ingekuwa chini zaidi ya hiyo) 32.8% as at Dec 2016! Kenya, kama source yangu hapo juu inavoeleza, usambazaji ulikuwa 55%, hiyo ni December 2016 pia. Unajifanya una kengeza kama mwenzako?
Lying to the President: How Kenya Power managers cooked Last Mile connection figuresHave you read and understood the report you have posted?
Tupa mitusi yote! Mimi sijakuletea source ya serikali kuhusu takwimu za Kenya Dec. 2016/55% elect. connec. % Ulileta source wewe mwenyewe ambayo serikali yenu imekosolewa kwa kufanya hesabu za shule ya chekechea! Sasa unataka kukimbia kwenye blog za NASA. Blog uchwara hazitobadilisha uhalisia wa mambo. Tz bado sana! Ingefaa ung'ang'ane kutafta source nyingine ya kuonesha kuwa usambazaji wa umeme Tz ulikuwa zaidi ya hiyo 32.8%/Dec. 2016! Ila mleta mada keshafunga uzi wake! 😀 Wewe endelea kutapatapa nje ya mada! 😀😀Ninarudia tena, wewe ni mjinga sana, endelea kunyonya maziwa ya mbwa koko. Hii source inatoa taarifa ya serikali kuhusu usambazaji umeme, na huyo hapo chini ni mwandishi(Journalist), anayetoa view zake kutokana na hiyo taarifa ya serikali kuonyesha wasiwasi wake, kwanini umeamua kuacha kuisikiliza serikali, na badala yake unataka kumsikiliza mtu binafsi?. Ngoja nikuletee habari za baadhi wa journalists wa Kenya wanaopinga taarifa za serikali ya Kenya
Kenya itaendelea kuchomeka kwa sababu ya upuuzi wenu wa ukabila na NASA vs Jubilee, mkuletewa taarifa yoyote yenye kukosoa serikali mnaanza kuingiza ukabila au NASA vs Jubilee. Ulipoamua kuacha kuamini serikali ya Tanzania na kumsikiliza huyo journalist, kwako uliona ni sawa, sasa mimi nilipokuwekea huyo journalist anayepinga taarifa za Kenya, unakataa na kusema na blog za NASA, stupid Kenyan.Tupa mitusi yote! Mimi sijakuletea source ya serikali kuhusu takwimu za Kenya Dec. 2016/55% elect. connec. % Ulileta source wewe mwenyewe ambayo serikali yenu imekosolewa kwa kufanya hesabu za shule ya chekechea! Sasa unataka kukimbia kwenye blog za NASA. Blog uchwara hazitobadilisha uhalisia wa mambo. Tz bado sana! Ingefaa ung'ang'ane kutafta source nyingine ya kuonesha kuwa usambazaji wa umeme Tz ulikuwa zaidi ya hiyo 32.8%/Dec. 2016! Ila mleta mada keshafunga uzi wake! 😀 Wewe endelea kutapatapa nje ya mada! 😀😀
Mtafika tu hata sisi Tulikuwa hapo many years ago ila inabidi mjikakamue zaidi kufikia Kenya. You guys are trying.Remember Kenya is a failed state, therefore it can't beat Tanzania on electric connectivity.
How Many Rural Tanzanians Have Power? – PesaCheck
Huko kwenu ni CCM vs CHADEMA kweli nyani haoni kundule.Kenya itaendelea kuchomeka kwa sababu ya upuuzi wenu wa ukabila na NASA vs Jubilee, mkuletewa taarifa yoyote yenye kukosoa serikali mnaanza kuingiza ukabila au NASA vs Jubilee. Ulipoamua kuacha kuamini serikali ya Tanzania na kumsikiliza huyo journalist, kwako uliona ni sawa, sasa mimi nilipokuwekea huyo journalist anayepinga taarifa za Kenya, unakataa na kusema na blog za NASA, stupid Kenyan.
Tunapaswa wote kutumia sources za serikali, ambapo serikali ya Kenya inasema by December 2016 electric connectivity was 55%, na serikali ya TZ inasema by December 2016 was 67.5%, hizo sources zingine toka NASA na private Journalists tuachane nazo. Kwasababu hiyo, Kenya ipo nyuma sana ya Tanzania.
Hili la umeme wala usijisumbue, Tanzania ipo mbali sana, tafute lingine la kushindana na Tanzania, sio katika eneo la umeme wala barabara, huko utadhalilika.
Kenya ranked as 'failed state'Mtafika tu hata sisi Tulikuwa hapo many years ago ila inabidi mjikakamue zaidi kufikia Kenya. You guys are trying.
Kenya ranked as 'failed state'Huko kwenu ni CCM vs CHADEMA kweli nyani haoni kundule.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mtaumia sana mwaka huu, the most recent data ni hizi hapa chini, achana na hizo za zamani, endeleeni kuisoma nambaData from Tanzania 2016 ilionesha national electricity access at 32.8% huku urban areas zikiwa na 64% access na rural areas zikiwa na 16% access
33pc of Tanzanians have access to electricity: report | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today
Tanzania: 33% of Tanzanians Have Access to Electricity - Report
Data kutoka kenya 2016 ilionesha Kenya's national electricity access ilkua around 60%
CHUMO: Kenya’s electricity access rate now at a historic 60 per
joto la jiwe ni kilaza, jamaa anatuwekea link inayopingana na maoni yake. The report states that only 16% of rural Danganyikans have access to electricity while 67% of urban population have access to electricity.Leo nimekubali wewe ni chizi flani tu. Uliitisha source, nimekupa hiyo ya Kenya ya 2016, connectivity, 55%. Sasa kama hii link ulioweka hapa inasema Tz electricity connectivity is 32.8% as at Dec. 2016! mwaswast, somea huyu jamaa hii link aloiweka hapa juu. Au ucopy paste tuichambue sote! Nimechoshwa na huyu zero brain!