Hali ya usambazaji umeme nchini Tanzania,Kenya mna la kujifunza Tanzania

Hali ya usambazaji umeme nchini Tanzania,Kenya mna la kujifunza Tanzania

Ahhha hhaa hapo ndio kuna point unamiss,sikia hii,ukisikia Tanzania umeme vijijini ni 36% maana yake Tanzania umeme coverage iko kwenye 50% kama sio 60%.vijijini maana yake Mwanza, Mbeya,Arusha,Tanga ,Mbeya and all the metropos zinakuwa hazijawa included,as per today umeme Tanzania umeme vijiji 8000 hazijui kuwasha vibatari maana umeme upo Kila sehem na mwaka huu lap ya mwisho kuvifikia vijiji 4000 or less ndo umeanza,leteni shirika lenu la stima waje
Tujifunze nini? Hizo takwimu zinaonesha TANZANIA MAINLAND (hawajaeka Zanzibar, ingekuwa chini zaidi ya hiyo) 32.8% as at Dec 2016! Kenya, kama source yangu hapo juu inavoeleza, usambazaji ulikuwa 55%, hiyo ni December 2016 pia. Unajifanya una kengeza kama mwenzako?
 
Sina haja ya kubishana kama watoto link umeieka mwenyewe. Taarifa yenyewe naona imeandikwa na watanzania. Isome kutoka mwanzo hadi mwisho. Inasema hamna cha 67.5% kwenye usambazaji wa umeme Tz wala nini! Taarifa yenyewe inasema kwamba usambazaji wa umeme Tz ni 32.8% as at Dec. 2016! Kama huelewi kiingereza sema! mwathadan, please help me educate this bugger!
Ninarudia tena, wewe ni mjinga sana, endelea kunyonya maziwa ya mbwa koko. Hii source inatoa taarifa ya serikali kuhusu usambazaji umeme, na huyo hapo chini ni mwandishi(Journalist), anayetoa view zake kutokana na hiyo taarifa ya serikali kuonyesha wasiwasi wake, kwanini umeamua kuacha kuisikiliza serikali, na badala yake unataka kumsikiliza mtu binafsi?. Ngoja nikuletee habari za baadhi wa journalists wa Kenya wanaopinga taarifa za serikali ya Kenya kuhusu barabara na idadi ya wakenya waliounganishwa na umeme kama Jubilee inavyodai, je utaamini taarifa za Jubilee au hao journalists wanaozipinga?, acha ujinga.
 
Tukutane 2022 mkuu
Asante sana mleta mada MSAGA SUMU, kwa kukubali kwamba tupo mbali sana kama Kenya ikifika ni kwenye usambazaji wa umeme. Waeleze wenzako sasa! Hizo ni takwimu za Dec. 2016, 55%! Ulidhani nadanganya nikisema kwamba Desemba 2017 tulikuwa tumefikia 67%? Haya basi tukutane 2022, ikumbukwe kuwa mradi wa 'last mile' bado unaendelea Kenya. Wananuia kufikia 'universal connectivity', huo ni usambazaji wa umeme wa 95%+ kabla ya 2022. Mungu atujaalie mema. Kenya hoyee!
 
Tujifunze nini? Hizo takwimu zinaonesha TANZANIA MAINLAND (hawajaeka Zanzibar, ingekuwa chini zaidi ya hiyo) 32.8% as at Dec 2016! Kenya, kama source yangu hapo juu inavoeleza, usambazaji ulikuwa 55%, hiyo ni December 2016 pia. Unajifanya una kengeza kama mwenzako?
Lying to the President: How Kenya Power managers cooked Last Mile connection figures
Serikali ya Kenya inasema imeunganisha watu zaidi ya 3M, hawa journalists wanasema sio kweli, je utasikiliza nani?. Ripoti niliyokuwekea ni ya Tanzania, serikali inasrma imeunganisha 67.5%, Journalist anabisha na kuonyesha 36%, utasikiliza nani?. Kwa Kenya unachukua data za serikali, ila kwa Tanzania unachukua data za journalist, stupid Kenyan. Ila jiandaeni kuendelea kuisoma namba
 
Ninarudia tena, wewe ni mjinga sana, endelea kunyonya maziwa ya mbwa koko. Hii source inatoa taarifa ya serikali kuhusu usambazaji umeme, na huyo hapo chini ni mwandishi(Journalist), anayetoa view zake kutokana na hiyo taarifa ya serikali kuonyesha wasiwasi wake, kwanini umeamua kuacha kuisikiliza serikali, na badala yake unataka kumsikiliza mtu binafsi?. Ngoja nikuletee habari za baadhi wa journalists wa Kenya wanaopinga taarifa za serikali ya Kenya
Tupa mitusi yote! Mimi sijakuletea source ya serikali kuhusu takwimu za Kenya Dec. 2016/55% elect. connec. % Ulileta source wewe mwenyewe ambayo serikali yenu imekosolewa kwa kufanya hesabu za shule ya chekechea! Sasa unataka kukimbia kwenye blog za NASA. Blog uchwara hazitobadilisha uhalisia wa mambo. Tz bado sana! Ingefaa ung'ang'ane kutafta source nyingine ya kuonesha kuwa usambazaji wa umeme Tz ulikuwa zaidi ya hiyo 32.8%/Dec. 2016! Ila mleta mada keshafunga uzi wake! 😀 Wewe endelea kutapatapa nje ya mada! 😀😀
 
Tupa mitusi yote! Mimi sijakuletea source ya serikali kuhusu takwimu za Kenya Dec. 2016/55% elect. connec. % Ulileta source wewe mwenyewe ambayo serikali yenu imekosolewa kwa kufanya hesabu za shule ya chekechea! Sasa unataka kukimbia kwenye blog za NASA. Blog uchwara hazitobadilisha uhalisia wa mambo. Tz bado sana! Ingefaa ung'ang'ane kutafta source nyingine ya kuonesha kuwa usambazaji wa umeme Tz ulikuwa zaidi ya hiyo 32.8%/Dec. 2016! Ila mleta mada keshafunga uzi wake! 😀 Wewe endelea kutapatapa nje ya mada! 😀😀
Kenya itaendelea kuchomeka kwa sababu ya upuuzi wenu wa ukabila na NASA vs Jubilee, mkuletewa taarifa yoyote yenye kukosoa serikali mnaanza kuingiza ukabila au NASA vs Jubilee. Ulipoamua kuacha kuamini serikali ya Tanzania na kumsikiliza huyo journalist, kwako uliona ni sawa, sasa mimi nilipokuwekea huyo journalist anayepinga taarifa za Kenya, unakataa na kusema na blog za NASA, stupid Kenyan.

Tunapaswa wote kutumia sources za serikali, ambapo serikali ya Kenya inasema by December 2016 electric connectivity was 55%, na serikali ya TZ inasema by December 2016 was 67.5%, hizo sources zingine toka NASA na private Journalists tuachane nazo. Kwasababu hiyo, Kenya ipo nyuma sana ya Tanzania.

Hili la umeme wala usijisumbue, Tanzania ipo mbali sana, tafute lingine la kushindana na Tanzania, sio katika eneo la umeme wala barabara, huko utadhalilika.
 
Kenya itaendelea kuchomeka kwa sababu ya upuuzi wenu wa ukabila na NASA vs Jubilee, mkuletewa taarifa yoyote yenye kukosoa serikali mnaanza kuingiza ukabila au NASA vs Jubilee. Ulipoamua kuacha kuamini serikali ya Tanzania na kumsikiliza huyo journalist, kwako uliona ni sawa, sasa mimi nilipokuwekea huyo journalist anayepinga taarifa za Kenya, unakataa na kusema na blog za NASA, stupid Kenyan.

Tunapaswa wote kutumia sources za serikali, ambapo serikali ya Kenya inasema by December 2016 electric connectivity was 55%, na serikali ya TZ inasema by December 2016 was 67.5%, hizo sources zingine toka NASA na private Journalists tuachane nazo. Kwasababu hiyo, Kenya ipo nyuma sana ya Tanzania.

Hili la umeme wala usijisumbue, Tanzania ipo mbali sana, tafute lingine la kushindana na Tanzania, sio katika eneo la umeme wala barabara, huko utadhalilika.
Huko kwenu ni CCM vs CHADEMA kweli nyani haoni kundule.
 
Data from Tanzania 2016 ilionesha national electricity access at 32.8% huku urban areas zikiwa na 64% access na rural areas zikiwa na 16% access
33pc of Tanzanians have access to electricity: report | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today

Tanzania: 33% of Tanzanians Have Access to Electricity - Report

Data kutoka kenya 2016 ilionesha Kenya's national electricity access ilkua around 60%

CHUMO: Kenya’s electricity access rate now at a historic 60 per
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mtaumia sana mwaka huu, the most recent data ni hizi hapa chini, achana na hizo za zamani, endeleeni kuisoma namba
https://pesacheck.org/how-many-rural-tanzanians-have-power-c60f4d89697e[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Leo nimekubali wewe ni chizi flani tu. Uliitisha source, nimekupa hiyo ya Kenya ya 2016, connectivity, 55%. Sasa kama hii link ulioweka hapa inasema Tz electricity connectivity is 32.8% as at Dec. 2016! mwaswast, somea huyu jamaa hii link aloiweka hapa juu. Au ucopy paste tuichambue sote! Nimechoshwa na huyu zero brain!
joto la jiwe ni kilaza, jamaa anatuwekea link inayopingana na maoni yake. The report states that only 16% of rural Danganyikans have access to electricity while 67% of urban population have access to electricity.
 
Back
Top Bottom