Hali ya usambazaji umeme nchini Tanzania,Kenya mna la kujifunza Tanzania

Hali ya usambazaji umeme nchini Tanzania,Kenya mna la kujifunza Tanzania

joto la jiwe ni kilaza, jamaa anatuwekea link inayopingana na maoni yake. The report states that only 16% of rural Danganyikans have access to electricity while 67% of urban population have access to electricity.
Jamaa kuargue naye ni kupoteza tu muda
 
Ungeodoa Kenya ukatueleza hali ilivyo, unaleta mambo ya Simba na Yanga kwenye ishu za kimaendeleo, ni lazima tujilinganishe na Kenya? Mbona hujilinganishi na role model wetu uchwara Rwanda?
Ficha upumbavu wako
Rwanda analipi lakutufanya sie tumuige!
 
joto la jiwe ni kilaza, jamaa anatuwekea link inayopingana na maoni yake. The report states that only 16% of rural Danganyikans have access to electricity while 67% of urban population have access to electricity.
Yeye alirukia hiyo 67% baada ya kuona takwimu za Kenya zinasema usambazaji wa umeme Kenya ni 67% pia. Wakati Tz hiyo 67% ni urban population pekee yake! Hakuona rural Tz, kule vijijini ni 16% na kwamba kwa ujumla usambazaji wa umeme Tz ni 32.8% tu! Nia yake kuu ilikuwa waonekane wababe zaidi ya Kenya, hata kwa uongo. Sasa 'yimekula kwake'! 😀 Muache tu, naona hiyo taarifa yake hadi sasa hivi yeye mwenyewe hajaielewa, utajisumbua bure tu!
 
Mara ya mwisho umrpita kkoo lini?

M

MAra yangu ya mwisho kukanyaga Kariakoo ni mwezi uliopita nikifanya shopping ya madaftari n.k. Point yangu ni ya kuwa, sijui iwapo kuna shuhuda yeyote kutoka Nairobi ambaye anaweza sema ni lini maduka ya Tom Mboya st. , River Road na Moi Ave. yamepata blackouts na majenereta yakawashwa, mimoshi na makelele kibao maeneo ya CBD??????????? Iwapo wameshuhudia hayo, basi tuna la kujifunza kutoka Tz.
 
Ficha upumbavu wako
Rwanda analipi lakutufanya sie tumuige!
hahahah hapa hunitukani mimi bali yule anayeitumia Rwanda na Kagame kama role model, nimetumia sanaa ya lugha ndo maana hujanielewa! Labdawote tusaidiane kushangaa, je Rwanda kuna lipi la kujifunza kwao mpaka tuwaone kama miungu watu?
 
Yeye alirukia hiyo 67% baada ya kuona takwimu za Kenya zinasema usambazaji wa umeme Kenya ni 67% pia. Wakati Tz hiyo 67% ni urban population pekee yake! Hakuona rural Tz, kule vijijini ni 16% na kwamba kwa ujumla usambazaji wa umeme Tz ni 32.8% tu! Nia yake kuu ilikuwa waonekane wababe zaidi ya Kenya, hata kwa uongo. Sasa 'yimekula kwake'! 😀 Muache tu, naona hiyo taarifa yake hadi sasa hivi yeye mwenyewe hajaielewa, utajisumbua bure tu!
Akili yako ni pungufu wewe, wewe link uliyoiweka toka GoK imeonyesha by December 2016 electric connnectivity ni 55%, nani ameleta hiyo link ya Kenya kama sio wewe mwenyewe?, au unaikataa baada ya kuona ile ya Tanzania inayosema kwamba by December 2016 Tanzania ilikuwa ni 67.5%?
 
Yeye alirukia hiyo 67% baada ya kuona takwimu za Kenya zinasema usambazaji wa umeme Kenya ni 67% pia. Wakati Tz hiyo 67% ni urban population pekee yake! Hakuona rural Tz, kule vijijini ni 16% na kwamba kwa ujumla usambazaji wa umeme Tz ni 32.8% tu! Nia yake kuu ilikuwa waonekane wababe zaidi ya Kenya, hata kwa uongo. Sasa 'yimekula kwake'! 😀 Muache tu, naona hiyo taarifa yake hadi sasa hivi yeye mwenyewe hajaielewa, utajisumbua bure tu!
CHUMO: Kenya’s electricity access rate now at a historic 60 per
Hii link nani ameiweka kama sio wewe?
 
hahahah hapa hunitukani mimi bali yule anayeitumia Rwanda na Kagame kama role model, nimetumia sanaa ya lugha ndo maana hujanielewa! Labdawote tusaidiane kushangaa, je Rwanda kuna lipi la kujifunza kwao mpaka tuwaone kama miungu watu?
Yale majukwaa yenu ya chadema vs fisiemu yatakufaa sana mzee, huna contents, huku hakukufai!
 
Yeye alirukia hiyo 67% baada ya kuona takwimu za Kenya zinasema usambazaji wa umeme Kenya ni 67% pia. Wakati Tz hiyo 67% ni urban population pekee yake! Hakuona rural Tz, kule vijijini ni 16% na kwamba kwa ujumla usambazaji wa umeme Tz ni 32.8% tu! Nia yake kuu ilikuwa waonekane wababe zaidi ya Kenya, hata kwa uongo. Sasa 'yimekula kwake'! 😀 Muache tu, naona hiyo taarifa yake hadi sasa hivi yeye mwenyewe hajaielewa, utajisumbua bure tu!
Mbona mnahaha kulazimisha Tz isipige hatua mazee?
Hamtaki kuona tunafikia 100% access to electricity by 2025??
Hahahaha, mtakoma mwaka huu,
 
Akili yako ni pungufu wewe, wewe link uliyoiweka toka GoK imeonyesha by December 2016 electric connnectivity ni 55%, nani ameleta hiyo link ya Kenya kama sio wewe mwenyewe?, au unaikataa baada ya kuona ile ya Tanzania inayosema kwamba by December 2016 Tanzania ilikuwa ni 67.5%?
Ona huyu kibwengo! Meza vicks! 😀😀😀
Akili yako ni pungufu wewe, wewe link uliyoiweka toka GoK imeonyesha by December 2016 electric connnectivity ni 55%, nani ameleta hiyo link ya Kenya kama sio wewe mwenyewe?, au unaikataa baada ya kuona ile ya Tanzania inayosema kwamba by December 2016 Tanzania ilikuwa ni 67.5%?

 
Weka vijiji vya kenya vingapi ndio ulinganishe na Tanzania.Kumbuka TZ ndio nchi yenye eneo kubwa kuliko nchi zote za afrika mashariki kwa hiyo TZ imepiga hatua kubwa sana.Kwa sisi tuliofanikiwa kufika mikoa mingi ya TZ tunajionea mabadiliko ya kasi ya maendeleo wilayani na vijijini.Under Magufuli TZ tutaendelea kushine.
 
Back
Top Bottom