Naliona anguko la korosho kama mbaazi
Mbwewe jamaa wanasehemu nyingi za kununua mbaya zaidi sisi ni wazalishaji tu hatuna uwezo wa kuprocess, lazima tuumie tu mkuu hata tukiwa na sauti moja.Wakulima wa kahawa kila mwaka wanalia kupata hasara. Cha ajabu wanunuzi wakubwa km starbucks wanapata faida ya mabillioni, tht y nikasema wakulima bila kuungana na kuwa na sauti moja hya mabeberu ya kizungu yatawanyonya mpk kiama
viongozi wengine ni janga hivi kiongozi unakaa unaandika mambo kama hayo huoni aibu
Wenzetu wamefanikiwa kuipromoti kahawa mpaka imekuwa sehemu ya utamaduni!! Na sisi tulipaswa kufanya the same ...kahawa ilipaswa kupewa promo ya nguvu kiasi cha kufanya kila mwananchi aweze kunywa angalau vikombe viwili kwa siku. Tukifikia hatua hyo hatutokuwa ns shida na sokoMbwewe jamaa wanasehemu nyingi za kununua mbaya zaidi sisi ni wazalishaji tu hatuna uwezo wa kuprocess, lazima tuumie tu mkuu hata tukiwa na sauti moja.
Pure Betting...Nimekwenda Mtwara kufuatilia hii biashara, nilichogundua ili uwe salama kwa biashara hii ni uwe mfanyabiasha mkubwa unaeweza kununua kwenye minada na kupeleka nje, na kama ni mfanyabiashara mdogo itakuwia ugumu sana kuzitafuta korosho kwa wakulima watakao kuuzia kilo 1,2, mpaka ukusanye zifike tani 10,20 ni majanga. Sasa wenyeji wanakushauri uwaachie pesa wao wakukusanyie huko vijijini wewe uondoke ukafanye mambo yako halafu wakisha kamilisha watakujulisha uje uchukue mzigo wako, hilo kwangu nimeona ni kubet, kumpa mtu milioni 10,20,+++, halafu uondoke!!??,
USITHUBUTUNimekwenda Mtwara kufuatilia hii biashara, nilichogundua ili uwe salama kwa biashara hii ni uwe mfanyabiasha mkubwa unaeweza kununua kwenye minada na kupeleka nje, na kama ni mfanyabiashara mdogo itakuwia ugumu sana kuzitafuta korosho kwa wakulima watakao kuuzia kilo 1,2, mpaka ukusanye zifike tani 10,20 ni majanga. Sasa wenyeji wanakushauri uwaachie pesa wao wakukusanyie huko vijijini wewe uondoke ukafanye mambo yako halafu wakisha kamilisha watakujulisha uje uchukue mzigo wako, hilo kwangu nimeona ni kubet, kumpa mtu milioni 10,20,+++, halafu uondoke!!??,
Kwa hiyo hapo bei yenyewe itakuwaje mzeeBei dira n 1550/-
Ukirudi maelezo ya page 3 utaona kabarua kakichanganua bei diraKwa hiyo hapo bei yenyewe itakuwaje mzee
Sawa mkuu maelezo mazuri kabisa .Ukirudi maelezo ya page 3 utaona kabarua kakichanganua bei dira
Biashara hii inafanyika kimnada ila sharti wanunuzi anaanzia kutangiziwa bei kuanzia 1550/-
Sasa wao ndio waanze kushinda bei kuanzia hapo kwenda juu kama minada mingine kigezo tuu hawarusiwi kushusha bei zaid ya hyo bei dira kwa kg1 (1550/-)
Mwaka jan bei dra iliku 1400/- hv (kama aijakosea )
Na minada (waliza katk minada kwa kg 1 minada ilikuw hv
3800
3900
4000
Hvyo so apo unatoa 170/- ndio unalipwa
(Bei hzo ni kwa kg 1)
Watu wamenunua sh 2500 na kulipa wanunuzi,duh twafaa