Hali ya zao la Korosho sokoni

Hali ya zao la Korosho sokoni

Zitto Muda mwingine kama ana tatizo la akili vile kumbe yeye alishasema bei imeanguka, baadae akawa ameshasahu
 
Inabidi tuwe tunaziprocess hapa hapa Bongo na kuziuza moja kwa moja Ulaya na Marekani.

Siyo tunawauzia Vietnam, India, halafu wao wanazi process na kuziuza Ulaya. Faida kubwa wanaipata wao.

Ili kufanya hivyo inabidi kuweka mazingira mazuri ya kuvutia kwa wawekezaji.
Kwa kweli kama zimenunuliwa bombadier na miradi mikubwa
Kweli tutashindwa kununua processing machines
Hebu angalia matajiri wahindi wanavyowafanyisha kazi kina mama wa kihindi na kuwapa hela kidogo wakati wao wanafaidi.

Nashangaa tunapoambiwa watabangua hata kwa meno
20181030_110152.jpeg
 
Masac new update
Leo tarehe 2/11
Screenshot_20181102-171552.jpeg
 
Inabidi tuwe tunaziprocess hapa hapa Bongo na kuziuza moja kwa moja Ulaya na Marekani.

Siyo tunawauzia Vietnam, India, halafu wao wanazi process na kuziuza Ulaya. Faida kubwa wanaipata wao.

Ili kufanya hivyo inabidi kuweka mazingira mazuri ya kuvutia kwa wawekezaji.
Wala hatuitaji hilo kama serikali wanapesa ya kununua hayo ndege kwa mabilioni ya pesa in cash kwa nini wasinunue hizo mashine za kunangua korosho na kahawa ? , hata kama ni kwa kuwacharge pesa kidogo wakulima ili waziprocess na kuweza kucompete kimataifa ?
 
Back
Top Bottom