DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Wakuu,
Kutokana na maandiko(Quran na Biblia)
Turejee kilichotokea pale Eden Kwa binadamu WA kwanza ADAM na HAWA.
Baada ya ushawishi wa SHETANI, Adam na HAWA wanaamua kula tunda la mti wa kati waliokatazwa na Mwenyezi Mungu.
Na baada ya hapo, wanastuka kujikuta uchi na kutafta namna ya haraka ya kuzisitiri tupu zao.
Hii inatupa tafsiri kwamba halikua lengo la Mungu sisi binadamu tuzisitiri tupu zetu, Tulitakiwa kuishi uchi daima Kama viumbe wengine.
Tukumbuke pia, sio ng'ombe, sio mbuzi, sio kondoo Wala kiumbe yyt mwingine Duniani aliekula tunda lile pale Eden isipokua binadamu pekee Ambae ndie Hadi sasa anaezisitiri tupu zake.
Najaribu kuwaza, Ni aibu Sana. Binadamu mwenye akili zako timamu kumkemea na kumlaani SHETANI na KILA kinachomhusu shetani uku ukijisahau kwamba Hata hizo nguo zako ulizovaa kujisitiri hizo tupu zako Ni Kwa hisani yake yeye SHETANI.
My take:
Binadamu tuache na ule unafiki wa
"BANIANI MBAYA,KIATU CHAKE DAWA"
Namaanisha,
Kama kweli binadamu tumedhamilia kumkataa shetani na Kila kitu CHAKE. Basi tuanze rasmi kuishi na kutembea uchi (Nudism) Kama viumbe wengine duniani maana Tangu mwanzo halikua lengo la Mwenyezi Mungu sisi binadamu tuzisitiri nyeti zetu.
Nawasilisha tujadili Kwa hoja🙏
Kutokana na maandiko(Quran na Biblia)
Turejee kilichotokea pale Eden Kwa binadamu WA kwanza ADAM na HAWA.
Baada ya ushawishi wa SHETANI, Adam na HAWA wanaamua kula tunda la mti wa kati waliokatazwa na Mwenyezi Mungu.
Na baada ya hapo, wanastuka kujikuta uchi na kutafta namna ya haraka ya kuzisitiri tupu zao.
Hii inatupa tafsiri kwamba halikua lengo la Mungu sisi binadamu tuzisitiri tupu zetu, Tulitakiwa kuishi uchi daima Kama viumbe wengine.
Tukumbuke pia, sio ng'ombe, sio mbuzi, sio kondoo Wala kiumbe yyt mwingine Duniani aliekula tunda lile pale Eden isipokua binadamu pekee Ambae ndie Hadi sasa anaezisitiri tupu zake.
Najaribu kuwaza, Ni aibu Sana. Binadamu mwenye akili zako timamu kumkemea na kumlaani SHETANI na KILA kinachomhusu shetani uku ukijisahau kwamba Hata hizo nguo zako ulizovaa kujisitiri hizo tupu zako Ni Kwa hisani yake yeye SHETANI.
My take:
Binadamu tuache na ule unafiki wa
"BANIANI MBAYA,KIATU CHAKE DAWA"
Namaanisha,
Kama kweli binadamu tumedhamilia kumkataa shetani na Kila kitu CHAKE. Basi tuanze rasmi kuishi na kutembea uchi (Nudism) Kama viumbe wengine duniani maana Tangu mwanzo halikua lengo la Mwenyezi Mungu sisi binadamu tuzisitiri nyeti zetu.
Nawasilisha tujadili Kwa hoja🙏