Halikua lengo la Mungu binadamu tujisitiri tupu zetu. Pongezi kwa shetani

Halikua lengo la Mungu binadamu tujisitiri tupu zetu. Pongezi kwa shetani

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Wakuu,
Kutokana na maandiko(Quran na Biblia)
Turejee kilichotokea pale Eden Kwa binadamu WA kwanza ADAM na HAWA.

Baada ya ushawishi wa SHETANI, Adam na HAWA wanaamua kula tunda la mti wa kati waliokatazwa na Mwenyezi Mungu.

Na baada ya hapo, wanastuka kujikuta uchi na kutafta namna ya haraka ya kuzisitiri tupu zao.

Hii inatupa tafsiri kwamba halikua lengo la Mungu sisi binadamu tuzisitiri tupu zetu, Tulitakiwa kuishi uchi daima Kama viumbe wengine.

Tukumbuke pia, sio ng'ombe, sio mbuzi, sio kondoo Wala kiumbe yyt mwingine Duniani aliekula tunda lile pale Eden isipokua binadamu pekee Ambae ndie Hadi sasa anaezisitiri tupu zake.

Najaribu kuwaza, Ni aibu Sana. Binadamu mwenye akili zako timamu kumkemea na kumlaani SHETANI na KILA kinachomhusu shetani uku ukijisahau kwamba Hata hizo nguo zako ulizovaa kujisitiri hizo tupu zako Ni Kwa hisani yake yeye SHETANI.

My take:
Binadamu tuache na ule unafiki wa
"BANIANI MBAYA,KIATU CHAKE DAWA"

Namaanisha,
Kama kweli binadamu tumedhamilia kumkataa shetani na Kila kitu CHAKE. Basi tuanze rasmi kuishi na kutembea uchi (Nudism) Kama viumbe wengine duniani maana Tangu mwanzo halikua lengo la Mwenyezi Mungu sisi binadamu tuzisitiri nyeti zetu.

Nawasilisha tujadili Kwa hoja🙏
 
Binadamu hakujua mema wala mabaya. Bado natafuta mtu asiyejua mema wala mabaya anafananaje.
Swali ni kwamba, kama binadamu hakujua mema wala mabaya, angejuaje kwamba kutokutii amri ya Mungu ni vibaya?

Ni sawa na wewe umuambie mbuzi usile haya majani hapa.. halafu ukikuta amekula unaanza kumlaani yeye na vizazi vyake vyote pamoja na wanyama wengine wote waliopo duniani ambao wala hawakuhusika.
 
Wakuu,
Kutokana na maandiko(Quran na Biblia)
Turejee kilichotokea pale Eden Kwa binadamu WA kwanza ADAM na HAWA.

Baada ya ushawishi wa SHETANI, Adam na HAWA wanaamua kula tunda la mti wa kati waliokatazwa na Mwenyezi Mungu.

Na baada ya hapo,
Wanastuka kujikuta uchi na kutafta namna ya haraka ya kuzisitiri tupu zao.

Hii inatupa tafsiri kwamba,
Halikua lengo la Mungu sisi binadamu tuzisitiri tupu zetu, Tulitakiwa kuishi uchi daima Kama viumbe wengine.

Tukumbuke pia,
Sio ng'ombe, sio mbuzi, sio kondoo Wala kiumbe yyt mwingine Duniani aliekula tunda lile pale Eden isipokua binadamu pekee Ambae ndie Hadi sasa anaezisitiri tupu zake.

Najaribu kuwaza,Ni aibu Sana,
Binadamu mwenye akili zako timamu kumkemea na kumlaani SHETANI na KILA kinachomhusu shetani uku ukijisahau kwamba Hata hizo nguo zako ulizovaa kujisitiri hizo tupu zako Ni Kwa hisani yake yeye SHETANI.

My take:
Binadamu tuache na ule unafiki wa
"BANIANI MBAYA,KIATU CHAKE DAWA"

Namaanisha,
Kama kweli binadamu tumedhamilia kumkataa shetani na Kila kitu CHAKE. Basi tuanze rasmi kuishi na kutembea uchi (Nudism) Kama viumbe wengine duniani maana Tangu mwanzo halikua lengo la Mwenyezi Mungu sisi binadamu tuzisitiri nyeti zetu.

Nawasilisha tujadili Kwa hoja🙏
Yaelewe maandiko ww asingekula tunda uovu usingekuwepo aibu isingekuwepo simba na dangate wangekuwa marafiki
 
Baada ya ushawishi wa SHETANI, Adam na HAWA wanaamua kula tunda la mti wa kati waliokatazwa na Mwenyezi Mungu.

Na baada ya hapo,
Wanastuka kujikuta uchi na kutafta namna ya haraka ya kuzisitiri tupu zao.
Kumbe walikuwa wame jistiri kabla ya kula tunda.
Hapo nimeelewa hivi...Kabla ya kula tunda walikuwa wame jistiri na baada ya kukaidi amri ya Mungu ndiyo wakajikuta uchi.

ZINGATIA.
Hizo zote ni story za KUSADIKIKA ( UWONGO)
 
Swali ni kwamba, kama binadamu hakujua mema wala mabaya, angejuaje kwamba kutokutii amri ya Mungu ni vibaya?

Ni sawa na wewe umuambie mbuzi usile haya majani hapa.. halafu ukikuta amekula unaanza kumlaani yeye na vizazi vyake vyote pamoja na wanyama wengine wote waliopo duniani ambao wala hawakuhusika.
Ndio. Wachungaji hawayataki maswali haya magumu. Watuambie nini maana ya kutokujua mema wala mabaya.
 
Wakuu,
Kutokana na maandiko(Quran na Biblia)
Turejee kilichotokea pale Eden Kwa binadamu WA kwanza ADAM na HAWA.

Baada ya ushawishi wa SHETANI, Adam na HAWA wanaamua kula tunda la mti wa kati waliokatazwa na Mwenyezi Mungu.

Na baada ya hapo,
Wanastuka kujikuta uchi na kutafta namna ya haraka ya kuzisitiri tupu zao.

Hii inatupa tafsiri kwamba,
Halikua lengo la Mungu sisi binadamu tuzisitiri tupu zetu, Tulitakiwa kuishi uchi daima Kama viumbe wengine.

Tukumbuke pia,
Sio ng'ombe, sio mbuzi, sio kondoo Wala kiumbe yyt mwingine Duniani aliekula tunda lile pale Eden isipokua binadamu pekee Ambae ndie Hadi sasa anaezisitiri tupu zake.

Najaribu kuwaza,Ni aibu Sana,
Binadamu mwenye akili zako timamu kumkemea na kumlaani SHETANI na KILA kinachomhusu shetani uku ukijisahau kwamba Hata hizo nguo zako ulizovaa kujisitiri hizo tupu zako Ni Kwa hisani yake yeye SHETANI.

My take:
Binadamu tuache na ule unafiki wa
"BANIANI MBAYA,KIATU CHAKE DAWA"

Namaanisha,
Kama kweli binadamu tumedhamilia kumkataa shetani na Kila kitu CHAKE. Basi tuanze rasmi kuishi na kutembea uchi (Nudism) Kama viumbe wengine duniani maana Tangu mwanzo halikua lengo la Mwenyezi Mungu sisi binadamu tuzisitiri nyeti zetu.

Nawasilisha tujadili Kwa hoja🙏
vip kwa sasa umeshavua nguo na ukiwa mtaa gani
 
Back
Top Bottom