Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu Diamond hii style ya kurembua mdomo ni vipi tena?
Hodi hodi humu ndani, miye mmbea mwenzenu naombeni mnipokee kwa mikono miwili, mwanamke umbea kusutwa suna.
Asante Dina team umbeya mwenzangu, najuta kutoifahamu jf mapema nimepitwa na mengi
Yaaan moto upo katikatiiiii hujachelewaaaa
mjini kuna mambo.....kweli uspojipangautapanwa lol
Hodi hodi humu ndani, miye mmbea mwenzenu naombeni mnipokee kwa mikono miwili, mwanamke umbea kusutwa suna.
Hahahaaaaa...umeona Sema eeh..tumejaa top.
Karibu mno ladykims
wambea supporting wambea wenzao.........
Hahaaahaa ndio vizuri siku tukisutwa tunatembeza mkong'oto wa haja
sweetie stone ingekuwa tunajulikana thru id tungeshawekwa chongo.. lolHa haaaaa msije pigwa nyie lol
sweetie stone ingekuwa tunajulikana thru id tungeshawekwa chongo.. lol
Umeonaeee tena macho yote mawili uwiiiii tungemisije comment zenu lol!
Hahahaaaa.....
Hawatupati ng'ooooo na madongo yao watayapata ipasavyo as long as hatuwasingizii