Uchaguzi 2020 Halima Mdee aache kumnenea mabaya Askofu Josephat Gwajima, akikaidi atapata laana!

Uchaguzi 2020 Halima Mdee aache kumnenea mabaya Askofu Josephat Gwajima, akikaidi atapata laana!

Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Laana kutoka kwa porn stae?
 
Back
Top Bottom