Uchaguzi 2020 Halima Mdee aache kumnenea mabaya Askofu Josephat Gwajima, akikaidi atapata laana!

Uchaguzi 2020 Halima Mdee aache kumnenea mabaya Askofu Josephat Gwajima, akikaidi atapata laana!

Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Amfifiro alishasema kwa maneno yake mwenyewe,ubunge na uwaziri kwake ni vyeo vidogo...sasa anagombea nini kawe
 
Nyie bishaneni tuu!! mi nshafika huku mapemaaa..
IMG_20200917_182427.jpg
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Wanyama nao hawako nyuma
 

Attachments

  • Yani huko Kawe hadi Mbuzi hawamtaki Gwajima ilihali Mbuzi hawapigi kura. ( 640 X 640 ).mp4
    3.5 MB
Emb ingia google uandike neno "Gwajima" uone ufalme wa malaika utakavyokushukia. Utapata site kama nane hivi za chap chap
Baadae nenda p**ntube search for Gwajima.
Enjoy the show.
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Kwakweli yule dada atalaaniwa Watu washindwe kumuokoa
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Duh nilihisi labda watu mmeacha kumuamini huyu NgwajiBoy mmeokolewa kwenye minyororo ya ulaghai kumbe bado? Kweli ndiyo maana hata tito alikuwa na wafuasi.
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!

Anaongea ukweli mtupu
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
The most arrogant member Jamii forum 🤣🤣🤣 hanna ULICHOPOST
 
Sipo kisiasa, amini unavyoamini lakini sio kwa mcheza porn yule! Ukisikia mtu anajikana mara tatu ndio Gwajima. Mtu sura imejaa kwenye camera then anajikataa.
View attachment 1573767

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuelewi kitu wanakawe tumeshaamua Gwajima ndiyo mbunge wetu. Huyo Mdee hatumtaki kabisa kumsikia ametosha hiyo miaka 10. Wala hajatusaidia kwa lolote wanakawe.
 
Back
Top Bottom