Uchaguzi 2020 Halima Mdee aache kumnenea mabaya Askofu Josephat Gwajima, akikaidi atapata laana!

Uchaguzi 2020 Halima Mdee aache kumnenea mabaya Askofu Josephat Gwajima, akikaidi atapata laana!

Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Siasa ndivyo ilivyo, naamini baba askofu wangu alipoingia kwenye siasa alijaandaa kwa jambo lolote.
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Laana ya Mungu haifanyi kazi kama unavyodhania .Laana itoke kwa mtu anayejifanya kuwa kama nabii wakati siyo
 
Kwani Josephat ni askofu??!Mbona kuna siku nilikuwa nazurura pornhub nikakuta huko video zake za ngono?
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Tokea muambiwe mtapelekwa Marekani Mmesha anza kuehuka
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Dada Halima, hakuna laana yoyote utapata kutoka kwa mtumishi wa shetani, endelea kuweka kashfa zote wazi tena utabarikiwa mno na Mungu wa Kweli.
 
Ila njia za imani ni tofauti, waaminivyo Waislam ni tofauti na waanminivyo Wakristo. Usitake kubadilisha content ya uzi. Sunday school ni tofauti na madrasa, kwani madrasa watoto wetu wanakwenda kujifunza Quran.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio unaona tofauti

Kinachofundishwa ni kilekile .....watu msiojua ndio mnaona tofauti.

Ndio maana walokole wanabatiza ukiwa mtu mzima kwa maana ya kwamba umewaelewa mitume wote ipasavyo na unaamua kumtumia Yesu kama " njia" ya kumfikia Mungu!
 
Pepo mchafu toka
Pepo wa upumbavu na ujinga toka.
Hivi kumwambia ukweli au kuvujisha siri za mtu ni kumnenea mabaya?.
Bahati nzuri nafanya kazi na waumini 2 wa Gwajima wenye vyeo vya MP(ministry pastor). Hakika Gwajima kawaweza sana waumini wake.
 
Huo utukufu unaotaka Gwajima aupate hana, Mchungaji gani anakula kondooo wake mwenyewe? Kwani wamekua mboga?

Jimbo bado lipo CHADEMA sana.
 
Back
Top Bottom