Uchaguzi 2020 Halima Mdee aache kumnenea mabaya Askofu Josephat Gwajima, akikaidi atapata laana!

Uchaguzi 2020 Halima Mdee aache kumnenea mabaya Askofu Josephat Gwajima, akikaidi atapata laana!

Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dr Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Mimi ni muislam kwa kurith
Ask of gwajima alishiriki kuzibadilisha madrasa ziwe Sunday schools
Huyu ni mwizi kupitia dini ana mpaka bank
 
Tatizo kubwa ni hili "imeandikwa ya kwamba - huwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja - Gwagima halioni hilo??
 
Bwashee usimshuhudie jirani yako uongo!
Huo sio uongo alikula kondoo wake na akarekodiwa, au huwa unashirikiana nae nini ?, ametaka mwenyewe kuingia siasa ambako kutukanwa ni kawaida, pia mwambie mgombea wenu wa urais (magufuli) aache mara moja kuwaita wagombea wetu magunzi
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Msikilize kilaza wa maccm na usomi wake uchwara.

"Ombi letu ni kwamba maji yetu hapa yaharakishwe kwa sababu, maji ya hapa yanatoka kama matope ni machafu sana, wananchi wa Kasulu hawana matatizo kabisa na ccm_tanzania na wamesema kura zote wanakupa wewe Meko"- Prof Ndalichako
 
Msikilize kilaza wa maccm na usomi wake uchwara.

"Ombi letu ni kwamba maji yetu hapa yaharakishwe kwa sababu, maji ya hapa yanatoka kama matope ni machafu sana, wananchi wa Kasulu hawana matatizo kabisa na ccm_tanzania na wamesema kura zote wanakupa wewe Meko"- Prof Ndalichako
Kusoma sana siyo kuelimika bwashee!
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Wana Kawe tuna jambo letu tarehe 28 Octoba.. Hatuwezi kuchagua matapeli wa dini kutuwakilisha bungeni!
 
Aione Flora Mbash na Emmanuel Mbasha!!!

Hii ndoa Gwajima atajibu siku ya mwisho!
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Bwashee,
Nakubali njaa zipo lakini ikifikia Mtu anakula matapishi yake, ujue hiyo njaa imetamalaki kichwani! (Kanisa katoliki la Roma!)
 
Namshauri tu Mbunge wa Kawe aliyemaliza muda wake Halima Mdee kwamba aache kumnenea mabaya Mbunge mtarajiwa wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini Tanzania Dkt. Gwajima.

Kadhalika awakanye vijana wake wa kampeni waache kumdhihaki askofu mkuu Gwajima mara moja vinginevyo hasira ya Mungu itawashukia na wanaweza kulaanika.

Maendeleo hayana vyama!
Huyo sauti ya zege hana chake kawe. Angekuwa na busara, angeanza kuaga mapema. Bishop. Gwajima ndio mbunge mtarajiwa wa Kawe.
 
Mtu alisema kabisa yeye kugombea nafasi za kisiasa ni kujishusha lakini kwasasa anagombea nafasi hizo hizo za kisiasa!! Kweli duniani kuna watu bora wangekuwa mazombi kuliko kuwa misukule!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom