Halima Mdee amcharukia Kimei Bungeni, kuhusu deni la Serikali kwa mifuko ya hifadhi ya Jamii

Halima Mdee amcharukia Kimei Bungeni, kuhusu deni la Serikali kwa mifuko ya hifadhi ya Jamii

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Mbunge Halima Mdee amemcharukia Mbunge wa Vunjo Charles Kimei baada ya Halima Mdee kuchangia kuwa Serikali imekopa fedha nyingi kwenye mifuko ya hifadhi za jamii kiasi cha trilioni 10 na kufanya mifuko hiyo na kutolipa madeni hayo kumefanya mifuko hiyo kushindwa kulipa mafao ya wastaafu ipasavyo.

Kimei aliingilia kati na kusema kuwa deni hilo haliathiri mifuko ya jamii kulipa mafao kwani mifuko hiyo pia ni sehemu ya serikali na serikali inaweza kuwapa fedha hizo wakati wowote endapo watakwama ndipo Halima Mdee akamcharukia.

Zaidi waweza kuwaikiliza mwenyewe.

 
Hoja ya Kimei dhaifu sana, kitu kuwa chini ya serikali haina maana serikali ndio wanatakiwa kuchota pesa nyingi hapo kadri wanavyotaka, kama wanachota basi wahakikishe hawaiathiri hiyo mifuko kujiendesha hasa linapokuja suala la kuwalipa wastaafu, lakini serikali imekuww ikichota pesa nyingi huko kufanyia mambo yake na wanashindwa kuzirudisha kwa wakati ndio maana deni limekaribia kufika 10t.
 
Hoja ya Kimei dhaifu sana, kitu kuwa chini ya serikali haina maana serikali ndio wanatakiwa kuchota pesa nyingi hapo kadri wanavyotaka, kama wanachota basi wahakikishe hawaiathiri hiyo mifuko kujiendesha hasa linapokuja suala la kuwalipa wastaafu, lakini serikali imekuww ikichota pesa nyingi huko kufanyia mambo yake na wanashindwa kuzirudisha kwa wakati ndio maana deni limekaribia kufika 10t.
wanaccm wote hao
 
Dhamana hailipi deni, Kimei inatakiwa arudi shule, 'Kimei is running out of ideas, he has to go back to school, Assets do not pay loans' defending for the sake of defending, is convincing those who do not know it. ndiyo maana Msukuma watu wanampa hekoo! kwakuwashangaa wasomi wanao jito ufahamu, hapo awali nilidhani anafaa kuwa waziri wa fedha kumbe nilikosea
 
Kimei anasahau kua deni linazidi kukua kutokana na riba na pia bado serikali inaendelea kukopa, it will come a time mifuko inakufa, ni kweli kabisa hela iko salama kwa kuwa imedhaminiwa na serikali, sasa mbona psssf wanashindwa kulipa kwa wakati wastaafu, ultimately it will come a time watafilisika kabisa na serikali itachukua zaidi ya miaka kumi kuwalipa hao wastaafu fedha zao
Hoja ya Kimei dhaifu sana, kitu kuwa chini ya serikali haina maana serikali ndio wanatakiwa kuchota pesa nyingi hapo kadri wanavyotaka, kama wanachota basi wahakikishe hawaiathiri hiyo mifuko kujiendesha hasa linapokuja suala la kuwalipa wastaafu, lakini serikali imekuww ikichota pesa nyingi huko kufanyia mambo yake na wanashindwa kuzirudisha kwa wakati ndio maana deni limekaribia kufika 10t.
 
Aiseee Mdee sikujua kama ana njaa namna hii.....Amefanya kazi zaidi ya 15 years lakini ameamua kuunga mkono juhudi ,hata aseme nini simtilii maanani.
Mzee Halima anatafuta huruma kwa nguvu. Ndugai kawaingiza chaka. Hivi sasa anajaribu kuwapa muda wa upendeleo na hints za kuzungumzia ili kuwavutia walengwa japo nalo linazidi kuwadhalilisha. Ni bora wangekaa kimya watu wangewasahau.
 
Kimei akili aliacha CRDB,Ndo maana msukuma anasema baadhi ya wasomi wetu ni bure .
Yeye alipata mafao yake vizuri na gari juu,walimu ,polisi na baadhi ya wastaafu ambao status yao ni ndogo kupata mafao ni kero.
 
Kimei nae kakabidhi akili Lumumba...
Jitahidi ujue uchumi ndio upayuke, serikali yeyote haishindwi kulipa deni lá ndani kwa institution zake.

Na haitoweza kushindwa kwakuwa ikilazimika na ikaamua zile machine za kuweka namba mikaratasi inaamshwa na hayo mikaratasi yanageuka pesa. Kwenye Benki kuu kuna pesa nyingi mno za kitanzania, bila namba.,

Pesa za nje ndio huwezi kulipa mpaka uchumi wako uziingize pesa za kigeni katika mfumo wako na ndio huwa zako.
 
Mzee Halima anatafuta huruma kwa nguvu. Ndugai kawaingiza chaka. Hivi sasa anajaribu kuwapa muda wa upendeleo na hints za kuzungumzia ili kuwavutia walengwa japo nalo linazidi kuwadhalilisha. Ni bora wangekaa kimya watu wangewasahau.

Kwa Upuuzi alioufanya siwezi kumsikiliza chochote atakachokiongea ,atulie tu ale huo mshahara ,akishamaliza apumzike siasa maana si ccm wala cdm atarudi.
 
Blah blah blah .....mbona serikali ya chama chako imeshindwa kuwapa fedha zao waliokuwa wafanyakazi wa EAC?halafu ile pesa serikali imeiba hazikua zao halafu hapa unaleta blah zako wakati familia zao zimeingia kwenye umasikini mkubwa na wewe unajiona ni middle class
Jitahidi ujue uchumi ndio upayuke, serikali yeyote haishindwi kulipa deni lá ndani kwa institution zake.

Na haitoweza kushindwa kwakuwa ikilazimika na ikaamua zile machine za kuweka namba mikaratasi inaamshwa na hayo mikaratasi yanageuka pesa. Kwenye Benki kuu kuna pesa nyingi mno za kitanzania, bila namba.,

Pesa za nje ndio huwezi kulipa mpaka uchumi wako uziingize pesa za kigeni katika mfumo wako na ndio huwa zako.
 
Hoja ya Kimei dhaifu sana, kitu kuwa chini ya serikali haina maana serikali ndio wanatakiwa kuchota pesa nyingi hapo kadri wanavyotaka, kama wanachota basi wahakikishe hawaiathiri hiyo mifuko kujiendesha hasa linapokuja suala la kuwalipa wastaafu, lakini serikali imekuww ikichota pesa nyingi huko kufanyia mambo yake na wanashindwa kuzirudisha kwa wakati ndio maana deni limekaribia kufika 10t.
Kimei anajikomba apate ulaji...
 
Mbunge Halima Mdee amemcharukia Mbunge wa Vunjo Charles Kimei baada ya Halima Mdee kuchangia kuwa Serikali imekopa fedha nyingi kwenye mifuko ya hifadhi za jamii kiasi cha trilioni 10 na kufanya mifuko hiyo na kutolipa madeni hayo kumefanya mifuko hiyo kushindwa kulipa mafao ya wastaafu ipasavyo.

Kimei aliingilia kati na kusema kuwa deni hilo haliathiri mifuko ya jamii kulipa mafao kwani mifuko hiyo pia ni sehemu ya serikali na serikali inaweza kuwapa fedha hizo wakati wowote endapo watakwama ndipo Halima Mdee akamcharukia.

Zaidi waweza kuwaikiliza mwenyewe.


Nauliza tena ubunge wa kujitegemea umeruhusiwa lini Tanzania?
 
Back
Top Bottom