Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Mbunge Halima Mdee amemcharukia Mbunge wa Vunjo Charles Kimei baada ya Halima Mdee kuchangia kuwa Serikali imekopa fedha nyingi kwenye mifuko ya hifadhi za jamii kiasi cha trilioni 10 na kufanya mifuko hiyo na kutolipa madeni hayo kumefanya mifuko hiyo kushindwa kulipa mafao ya wastaafu ipasavyo.
Kimei aliingilia kati na kusema kuwa deni hilo haliathiri mifuko ya jamii kulipa mafao kwani mifuko hiyo pia ni sehemu ya serikali na serikali inaweza kuwapa fedha hizo wakati wowote endapo watakwama ndipo Halima Mdee akamcharukia.
Zaidi waweza kuwaikiliza mwenyewe.
Kimei aliingilia kati na kusema kuwa deni hilo haliathiri mifuko ya jamii kulipa mafao kwani mifuko hiyo pia ni sehemu ya serikali na serikali inaweza kuwapa fedha hizo wakati wowote endapo watakwama ndipo Halima Mdee akamcharukia.
Zaidi waweza kuwaikiliza mwenyewe.