Halima Mdee amcharukia Kimei Bungeni, kuhusu deni la Serikali kwa mifuko ya hifadhi ya Jamii

Halima Mdee amcharukia Kimei Bungeni, kuhusu deni la Serikali kwa mifuko ya hifadhi ya Jamii

Dhamana hailipi deni, Kimei inatakiwa arudi shule, 'Kimei is running out of ideas, he has to go back to school, Assets do not pay loans' defending for the sake of defending, that is, convincing those who do not know it. ndiyo maana Msukuma watu wanampa hekoo! kwakuwashangaa wasomi wanao jito ufahamu, hapo hapo awali nilidhani anafaa kuwa waziri wa fedha kumbe nilikosea
Hili lizee kweli leo limniboa , ina maana wao alipokuwa benki walikuwa wanakopesha mtu hela kwa sababu alikuwa na asset au alikua na pia na biashara inayozungusha hela?
 
Hili lizee kweli leo limniboa , ina maana wao alipokuwa benki walikuwa wanakopesha mtu hela kwa sababu alikuwa na asset au alikua na pia na biashara inayozungusha hela?
Anataka teuzi huyo! maana alikuwa anajibu utadhani ni waziri aliyejitoa ufahamu
 
Mzee Halima anatafuta huruma kwa nguvu. Ndugai kawaingiza chaka. Hivi sasa anajaribu kuwapa muda wa upendeleo na hints za kuzungumzia ili kuwavutia walengwa japo nalo linazidi kuwadhalilisha. Ni bora wangekaa kimya watu wangewasahau.

Mbona Mbowe ujamwambia Akae kimya?
Mnataka wakina mdee wakae kimya wakati viongozi wenu usiku mzima wapo kwenye mitandao tu

Kama kweli mlisusa basi kaeni kimya moja kwa moja
 
Mbunge Halima Mdee amemcharukia Mbunge wa Vunjo Charles Kimei baada ya Halima Mdee kuchangia kuwa Serikali imekopa fedha nyingi kwenye mifuko ya hifadhi za jamii kiasi cha trilioni 10 na kufanya mifuko hiyo na kutolipa madeni hayo kumefanya mifuko hiyo kushindwa kulipa mafao ya wastaafu ipasavyo.

Kimei aliingilia kati na kusema kuwa deni hilo haliathiri mifuko ya jamii kulipa mafao kwani mifuko hiyo pia ni sehemu ya serikali na serikali inaweza kuwapa fedha hizo wakati wowote endapo watakwama ndipo Halima Mdee akamcharukia.

Zaidi waweza kuwaikiliza mwenyewe.


ni vita kati ya mbunge kutoka chama cha ndugai na ccm
 
Kimei lazima atetee si walikuwa wanapigiana danadana siri kali wanajuanà vizuri
 
Kwa Upuuzi alioufanya siwezi kumsikiliza chochote atakachokiongea ,atulie tu ale huo mshahara ,akishamaliza apumzike siasa maana si ccm wala cdm atarudi.
Duh jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata hoja zake hutaki kusikiliza.
 
Mbona Mbowe ujamwambia Akae kimya?
Mnataka wakina mdee wakae kimya wakati viongozi wenu usiku mzima wapo kwenye mitandao tu

Kama kweli mlisusa basi kaeni kimya moja kwa moja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wote si wabunge wa kuteuliwa wanachogombea Ni Nini Sasa ?
Usije ukakosea ukasema Kuna aliyechagukiwa, watu wa Kilimanjaro hawachagui CCM tangu enzi za Mrema
 
Kimei aliingilia kati na kusema kuwa deni hilo haliathiri mifuko ya jamii kulipa mafao kwani mifuko hiyo pia ni sehemu ya serikali na serikali inaweza kuwapa fedha hizo wakati wowote endapo watakwama ndipo Halima Mdee akamcharukia.
Huyu Kimei naye empty head, hivi anajua kuwa kuna wastaafu wanatabika kwakukosa mafao yao!!!? Kama serikali inashindwa nini kuwalipa hao wastaafu wanaolalamika?
 
Jitahidi ujue uchumi ndio upayuke, serikali yeyote haishindwi kulipa deni lá ndani kwa institution zake.

Na haitoweza kushindwa kwakuwa ikilazimika na ikaamua zile machine za kuweka namba mikaratasi inaamshwa na hayo mikaratasi yanageuka pesa. Kwenye Benki kuu kuna pesa nyingi mno za kitanzania, bila namba.,

Pesa za nje ndio huwezi kulipa mpaka uchumi wako uziingize pesa za kigeni katika mfumo wako na ndio huwa zako.
Uajua madhara ya kuprint hizo hela?
 
Mbunge Halima Mdee amemcharukia Mbunge wa Vunjo Charles Kimei baada ya Halima Mdee kuchangia kuwa Serikali imekopa fedha nyingi kwenye mifuko ya hifadhi za jamii kiasi cha trilioni 10 na kufanya mifuko hiyo na kutolipa madeni hayo kumefanya mifuko hiyo kushindwa kulipa mafao ya wastaafu ipasavyo.

Kimei aliingilia kati na kusema kuwa deni hilo haliathiri mifuko ya jamii kulipa mafao kwani mifuko hiyo pia ni sehemu ya serikali na serikali inaweza kuwapa fedha hizo wakati wowote endapo watakwama ndipo Halima Mdee akamcharukia.

Zaidi waweza kuwaikiliza mwenyewe.


Ulijituma mwenyewe bungeni.pokea taarifa
 
Hoja ya Kimei dhaifu sana, kitu kuwa chini ya serikali haina maana serikali ndio wanatakiwa kuchota pesa nyingi hapo kadri wanavyotaka, kama wanachota basi wahakikishe hawaiathiri hiyo mifuko kujiendesha hasa linapokuja suala la kuwalipa wastaafu, lakini serikali imekuww ikichota pesa nyingi huko kufanyia mambo yake na wanashindwa kuzirudisha kwa wakati ndio maana deni limekaribia kufika 10t.
Kimei anazingua kweli, na sijui anatuona sisi ni wajinga sana? Yeye ameshiba ndio maana, kwa sababu alipostaafu mwaka 2019, akiwa amefanya kazi tangu mwaka 1998, alilipwa mafao yake yote. Pia Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB ikamzawadia gari la kifahari aina ya Toyota Land Cruiser V8, new model 2018, lenye thamani ya Tsh milion 400 ikiwa ni shukrani ya kutambua mchango wake.
Vile vile katika kuhakikisha mstaafu huyo anaishi maisha mazuri, menejimenti ya benki hiyo imemnunulia hisa za thamani ya Tsh milioni 10.
Vile vile katika kuhakikisha mstaafu huyo na familia yake wanahakikishiwa usalama wa afya na mali zao, Mkurugenzi mkuu wa CRDB Insurance Broker ambayo ni taasisi ya benki hiyo inayohusika na Bima, Arthur Mosha, akatangaza kumpatia Dk Kimei bima ya mali zake zote na familia yake kwa kipindi Cha miaka 5, bima ambayo inamlinda hadi hivi sasa. Kwa shibe hiyo unadhani anaweza kuona kama kuna wastaafu huko wanateseka kutokana na serikali kukopa pesa za mafao yao?
 
Back
Top Bottom