Halima Mdee apoteza Jimbo la Kawe, Gwajima aibuka kidedea

Halima Mdee apoteza Jimbo la Kawe, Gwajima aibuka kidedea

[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Screenshot_20201030-082450.jpg
 
Unampenda sana musiba maana kila comment hauwezi acha kumuongelea kiazi wewe.
Cyprian Musiba alikwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi Tundu lisu na huyo cyprian Musiba ndiyo ana tenda kubwa ya kuitetea CCM mitandaoni lazima nimlime dakika zote.
 
Ona sasa umeenda kwingineeeee hujui ushike lipi uache lipi
Umeuliza ni kwa nini namtaja cyprian Musiba kila kona nimekupa jibu , sasa unaenda kwingine wewe mwenyewe ebu acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni.
 
Huyu Gwajima hakuna matusi ambayo hakutukanwa,ila akakaza ileile. Yule mtoto wa Dada angechemsha mapema Sana. Kwaheri sauti ya zege.
Jiandaeni tena kuishi kwa wasiwasi miaka mitano ijayo.

Kutumbuliwa any time.
 
tulieni kabisa huku mtaani hakuhitaji mbwembwe, kwa sasa hamna kinga tena.Kuimba kupokezana, mbio kubadilishana kijiti.Hii inaweza kuwa mwisho wenu katika maisha yenu kuitwa waheshimiwa, au kukanyaga tena pale mjengoni nje ya CCM..Niwatakie kila la kheri katika maisha yenu mapya.
Yani kwa furaha uliyonayo,utagongwa Leo mpaka basi.
 
Hata ukinitukana haibadilishi ushindi. Yaani mtu ashindwe kwa zaidi ya kura laki na nusu halafu ulete uongo hapa wa watu kuletwa kutoka wilaya nyingine, yaani walikuwa kwenye dafatari gani. Kila mpiga kura namba yake inaandikwa kwenye ballot paper, kwa hiyo kama Mdee analalamika basi aombe recount kuhakiki namba za kwenye ballot paper na za kwenye daftari
Mfano ya Zanzibar we inakuingia akilini kweli.76%ccm,haijawa kutokea.
Mi nasema ni wizi mtupu.(in masanjas voice)
 
Toka nizaliwe sijapata kuona, macho na ubongo wangu vinadhani naota[emoji848][emoji848][emoji15]

Au naota kweli wakuu?
 
Back
Top Bottom