minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho endelea kuvuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba.Siwezi kulazimisha mku*-/*%du kula muwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho endelea kuvuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba.Siwezi kulazimisha mku*-/*%du kula muwa
Kwani mawakala wenu tuliwachagulia sisi?Hakuna uchaguzi Tanzania bali CCM imeulawiti na kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
Moja kati ya msitari wa FID-QGiza totoro ndio ishara ya mapambazuko
Wamekataa Tanzania hakuna uchaguzi.du kama hawaamini vile?
Unampenda sana musiba maana kila comment hauwezi acha kumuongelea kiazi wewe.Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho endelea kuvuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba
Polisiccm walizuia mawakala kuingia mapema wapate kujaza kura haramu kwenye masanduku.Kwani mawakala wenu tuliwachagulia sisi?
😂😂😂😂😂😂😂😂 Aiseeeh, kwamba nini kula nini😳?Siwezi kulazimisha mku*-/*%du kula muwa
Cyprian Musiba alikwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi Tundu lisu na huyo cyprian Musiba ndiyo ana tenda kubwa ya kuitetea CCM mitandaoni lazima nimlime dakika zote.Unampenda sana musiba maana kila comment hauwezi acha kumuongelea kiazi wewe.
Watakubali tu hawana jinsi tenaWamekataa Tanzania hakuna uchaguzi
Ona sasa umeenda kwingineeeee hujui ushike lipi uache lipiCyprian Musiba alikwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi Tundu lisu na huyo cyprian Musiba ndiyo ana tenda kubwa ya kuitetea CCM mitandaoni lazima nimlime dakika zote
Minyoo subiri tufe kwanza alafu utafanya kazi yaki ya decompositionZinaanza Albadiri kwanza kisha mengineyo baadae
Umeuliza ni kwa nini namtaja cyprian Musiba kila kona nimekupa jibu , sasa unaenda kwingine wewe mwenyewe ebu acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni.Ona sasa umeenda kwingineeeee hujui ushike lipi uache lipi
Ha ha ha ha ha haMinyoo subiri tufe kwanza alafu utafanya kazi yaki ya decomposition
Jiandaeni tena kuishi kwa wasiwasi miaka mitano ijayo.Huyu Gwajima hakuna matusi ambayo hakutukanwa,ila akakaza ileile. Yule mtoto wa Dada angechemsha mapema Sana. Kwaheri sauti ya zege.
Je nikisema kuwa mawakala wenu walitaja bei tukawalipa nitakuwa nimekosea?Polisiccm walizuia mawakala kuingia mapema wapate kujaza kura haramu kwenye masanduku
Yani kwa furaha uliyonayo,utagongwa Leo mpaka basi.tulieni kabisa huku mtaani hakuhitaji mbwembwe, kwa sasa hamna kinga tena.Kuimba kupokezana, mbio kubadilishana kijiti.Hii inaweza kuwa mwisho wenu katika maisha yenu kuitwa waheshimiwa, au kukanyaga tena pale mjengoni nje ya CCM..Niwatakie kila la kheri katika maisha yenu mapya.
Boar?Bunge bila Halima lita-boar sana.
Mfano ya Zanzibar we inakuingia akilini kweli.76%ccm,haijawa kutokea.Hata ukinitukana haibadilishi ushindi. Yaani mtu ashindwe kwa zaidi ya kura laki na nusu halafu ulete uongo hapa wa watu kuletwa kutoka wilaya nyingine, yaani walikuwa kwenye dafatari gani. Kila mpiga kura namba yake inaandikwa kwenye ballot paper, kwa hiyo kama Mdee analalamika basi aombe recount kuhakiki namba za kwenye ballot paper na za kwenye daftari