Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Hilo bango ni la kutungwa na mashabiki tu, siyo matokeo ya kweli hayoMimi nashangaa hawa watu “wanaibaje kura” kwa magap haya?
Maana lazima namba itally na idadi ya wapiga kura ambayo haiwezi kuzidi idadi ya wote walioandikishwa kupiga kura kwenye jimbo husika.
CCM wana PhD ya wizi wa kura. Hawa wanaongoza kwa mbinu Afrika mashariki kusini na kati
View attachment 1615769