Halima Mdee bado una nafasi ya kutubu, Heshima na tamaa havikai pamoja

Halima Mdee bado una nafasi ya kutubu, Heshima na tamaa havikai pamoja

Wakiitisha maandamano hamjitokezi, wakiwekwa selo mnaishia kupiga hashtag Twitter ohh #freesomebody# upinzani wanawapigania watz ila nyinyi mko bize na kusaka mkate wenu, waacheni nao wasake matonge yao!
😎
 
Uu uzi umemgusa Halima na wenzie,na kwasasa Halima ni Dada wa taifa.
Kila mtanzania mzalendo anahaki ya kumtetea Dada Halima na wenzie kwamsalahi mapana ya taifa.

Kwa hakika mkisikia maridhiano - kwenu ni msiba!

Wachawi waanga wakubwa nyie!

Ndiyo maana kwenye kanda pendwa wazee na maalbino ni source ya mali ghafi muhimu!

Hiiii bagosha!
 
Pole sana Halima nasikia ombi lako la kuwataka wenyeviti bawacha nchi nzima kesho wafike dar wamekugomea.
 
Waliomchangia faini atoke jela walikuwa wana CCM.
Nusrat hanje alikuwa selo kwa kosa la kubambikiwa ugaidi, kosa lisilokuwa na dhamana, michango yenu wanacdm au hashtag Twitter za freehanje# zingesaidia nini? Yaani nyie mnataka akina nusrat wateseke jela kwa ajili yenu huku nyie mkila bata mtaani? Nao ni binadamu inafikia muda wanakata tamaa!
 
Kwa hakika mkisikia maridhiano - kwenu ni msiba!

Wachawi waanga wakubwa nyie!

Ndiyo maana kwenye kanda pendwa wazee na maalbino ni source ya mali ghafi muhimu!

Hiiii bagosha!
Achana na ukabila bwashee,stick kwenye mada.
 
Mabibi na mabwana na hasa wale walio wazalendo. Ni ukweli ulio wazi kuwa maji yakishamwagika huwa hayazoleki. Hata hivyo tunaweza kuganga yajayo.

Ni ukweli usiopingika kuwa, Bi. Halima ni mmoja kati ya makamanda shupavu kabisa walioipigania CDM kwa uaminifu mkubwa, licha ya kupitia katika changamoto nyingi.

Wandugu, kujikwaa si kuanguka na kosa moja halifukuzishi mke!

Siyo siri kuwa, tukio hili lililopelekea mtafaruku huu, limetusikitisha na kutusononesha mno. Kwa hakika itakuwa vyema sana kama tutashirikiana sote kulimaliza suala hili kistaarabu kwa mustakabala mwema wa chama chetu.

Ni furaha iliyo je mbinguni, mwenye dhambi mmoja akitubu?

Msingi wa hoja kama chama ni kutokutambua haramu ya uchaguzi 2020 na yote yatokanayo nao. Huu haupingiki aliye na hoja tofauti na atushawishi kwa hoja. Hiyo ndiyo demokrasia.

"Hapa pana namna ambayo suala hili Bi. Halima, litakwisha na adui yetu akatepeta na kulegea vilivyo:

1.Ombeni radhi kwa dhati kabisa mkijutia yote yaliyotokea.
2. Wekeni wazi bila kuficha kama ni Hadaa, ghiliba, ahadi, vitisho, nk na mkiwaweka wazi wote waliohusika na sarakasi hii. Koleo na likaitwe kwa jina lake.
3. Tuunganeni sote kumshambulia na kumwaibisha mbaya wetu.
4. Mengine kama yatakavyo shauriwa na waungwana wengine."

Sote tu wakosaji, shuruti tuwe tayari kusamehe 7x70.

Hayupo aliyepanga kukufukuzeni. Chonde chonde uamuzi wa kutofika huko mnao pia mikononi mwenu.

Ashindwe mbaya wetu na washirika wake wote.

Washindwe na walegee!
Sharti walilopewa lilikuwa ni moja tu
Waukubali huo ubunge wa viti maalumu au wauwae, Halima akaona isiwe kesi maisha bado matamu ngoja niende kwa job ndugai nikaape japo kwa kinafki nafki
 
wee mdanganye tuu, hukumu ya snitcher ni kupigwa risasi ya kichwaa tuu au kunyongwa hadharan na hili halina mjadala na walla si vinginevyo, na wanao mtetea vile vile rissasi za kichwa bila hurumaa…….ova!
Hata Rais Magufuli amewahi kusema msaliti anastahili kutandikwa Risasi,
 
Sharti walilopewa lilikuwa ni moja tu
Waukubali huo ubunge wa viti maalumu au wauwae, Halima akaona isiwe kesi maisha bado matamu ngoja niende kwa job ndugai nikaape japo kwa kinafki nafki

Kesho saa mbili juu ya alama, uzee mwisho chalinze!

Mtoto hatumwi dukani.
 
Achana na ukabila bwashee,stick kwenye mada.

Niko very much kwenye mada nikitambua kuwa imeandikwa, "Heri wapatanishi kwani hao wataitwa wana wa Mungu."

Kinyume chake ni washabikia mifarakano wachawi na waanga. Nyinyi hao. Wenye kukaanga mbuyu na kuwaachia wenye meno watafune.

Waanga na wachawi sekeseke lake anakotokea mzee baba shujaa wenu ni kwenye ukanda wake pendwa.

Au ulishamwambia sasa teuzi zake zisahau u kanda? Au kunya anye kuku tu?
 
Niko very much kwenye mada nikitambua kuwa imeandikwa, "Heri wapatanishi kwani hao wataitwa wana wa Mungu."

Kinyume chake ni washabikia mifarakano wachawi na waanga. Nyinyi hao. Wenye kukaanga mbuyu na kuwaachia wenye meno watafune.

Waanga na wachawi sekeseke lake anakotokea mzee baba shujaa wenu ni kwenye ukanda wake pendwa. Au ulishamwambia sasa teuzi zake zisahau u kanda? Au kunya anye kuku tu?
Kuna kibabu kimoja huwa tunaambiwa kilishinda kwa kishindo ila cha ajabu na cha kushangaza hicho hicho kishindo kinamshinda.
 
Kina Halima na wenzake msiwaonee wanabaraka za chairman.
Mkuu haonelewi mtu. Hili liko wazi:

"2. Wekeni wazi bila kuficha kama ni Hadaa, ghiliba, ahadi, vitisho, nk na mkiwaweka wazi wote waliohusika na sarakasi hii. Koleo na likaitwe kwa jina lake."

A spade should be called by its name. Tuna usongo na wahusika wote be it Lissu, Mbowe, Jiwe, Bashiri, chakubanga, supika nk.

Shida iko wapi, mtanange unaanza saa mbili juu ya alama. Mtoto hatumwi dukani!
 
Swali kidogo, sheria za bunge la Tanzania haziruhusu wabunge wa kujitegemea, yaani wabunge binafsi, Jee hawa wabunge 19 watafanyaje au watafanywaje na bunge ikiwa jumamosi katika mkutano wao chadema wakiamua kuwafukuza uanachama?
Tutasubiri unafiki wa msajili wa vyama. Wa cuf walifutwa uanachama na bungeni wakatolewa, sasa tutaona kwa hawa.
 
Ulikuwa umejijengea heshima ndani na nje ya nchi, ndani na nje ya bunge, tambua nguvu na heshima yako ilijengwa na sapoti ya wananchi waliokuzunguka hasa wanachama na viongozi wenzako wa Chadema ambao leo unataka kuwasaliti.

Kumbuka ulipokuwa jela ni wanachadema hawa hawa walikuchangia utoke sikumsikia Ndugai wala Mahera, ulipokamata kura feki ni wana Chadema hawa hawa walikuwa tayari kuumia na wewe, wale wanaokuona shujaa leo hasa wana CCM ndio waliokuwa wanakubeza na kukuzomea, ndio waliokucheka ulipovunjwa mkono na askari magereza.

Halima tambua nje ya umma utabaki Mdee wa kwenye mitandao ni sawa na samaki nje ya maji, alikuwepo Masumbuko Lwamwai akachagua tamaa, alikuwepo Mrema akachagua tamaa, na wewe umechagua njia hiyo.

Watawala wanaokutafuta leo ni kwa sababu uliteka mioyo ya wananchi wakishakunyang’anya hiyo nguvu ya umma kesho watagugeuza geuza kama chapati hutapata mtetezi.

Unashiriki kubomoa chama ulichokipigania kwa damu kwa miaka mingi kwa sababu ya ubunge wa miaka 5, hao watesi wako wa juzi ulioamua kuungana nao sio kwamba wanakupenda sana bali wanataka wakutumie baada ya hapo watakutupa kama mpira.

Uamuzi ni wako, karibu kwenye uwanja mpya wa mapambano, leo Ndugai ni rafiki kesho atakapoanza kukubeza bungeni usifedheheke, wananchi wakakapoanza kukuzomea mitaani ujue ndio njia iliyo hatua.

Unafanya makosa lakini bado una nafasi, kama ulikwazika fikiria upya omba radhi kwa wananchi nafikiri watakusamehe.
Miaka yote CCM walimwita msagaji chadema wakamtetea Leo hii anawasaliti chadema ooook ....!
 
Ulikuwa umejijengea heshima ndani na nje ya nchi, ndani na nje ya bunge, tambua nguvu na heshima yako ilijengwa na sapoti ya wananchi waliokuzunguka hasa wanachama na viongozi wenzako wa Chadema ambao leo unataka kuwasaliti.

Kumbuka ulipokuwa jela ni wanachadema hawa hawa walikuchangia utoke sikumsikia Ndugai wala Mahera, ulipokamata kura feki ni wana Chadema hawa hawa walikuwa tayari kuumia na wewe, wale wanaokuona shujaa leo hasa wana CCM ndio waliokuwa wanakubeza na kukuzomea, ndio waliokucheka ulipovunjwa mkono na askari magereza.

Halima tambua nje ya umma utabaki Mdee wa kwenye mitandao ni sawa na samaki nje ya maji, alikuwepo Masumbuko Lwamwai akachagua tamaa, alikuwepo Mrema akachagua tamaa, na wewe umechagua njia hiyo.

Watawala wanaokutafuta leo ni kwa sababu uliteka mioyo ya wananchi wakishakunyang’anya hiyo nguvu ya umma kesho watagugeuza geuza kama chapati hutapata mtetezi.

Unashiriki kubomoa chama ulichokipigania kwa damu kwa miaka mingi kwa sababu ya ubunge wa miaka 5, hao watesi wako wa juzi ulioamua kuungana nao sio kwamba wanakupenda sana bali wanataka wakutumie baada ya hapo watakutupa kama mpira.

Uamuzi ni wako, karibu kwenye uwanja mpya wa mapambano, leo Ndugai ni rafiki kesho atakapoanza kukubeza bungeni usifedheheke, wananchi wakakapoanza kukuzomea mitaani ujue ndio njia iliyo hatua.

Unafanya makosa lakini bado una nafasi, kama ulikwazika fikiria upya omba radhi kwa wananchi nafikiri watakusamehe.
Tatizo ni tafsiri ya hilo neno heshima, sijui kwako linamaanisha nini! Halima ni mbunge wa CHADEMA vyovyote vile iwavyo, awe ameenda kwa halali au kwa mlango usio halali.
Halafu siasa sio dini kwamba MTU anaogopa namna bora au mbaya ya kufikia kilele cha malengo yake. Ndiyo maana hata Mbowe hutafuta kila namna kuhakikisha anabaki kwenye uenyekiti.
 
Back
Top Bottom