Halima Mdee na Wenzake 18 nawaonya wasijaribu kwenda Mahakamani, "Kibatala na wenzake" bado wapo

Halima Mdee na Wenzake 18 nawaonya wasijaribu kwenda Mahakamani, "Kibatala na wenzake" bado wapo

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Halima na wenzake wasipoteze muda kutaka kwenda Mahakamani,kwani wanatuhumiwa kughushi sahihi za Viongozi wa chadema

Hata kama hawakughushi wao,aliewasaidia kughushi yupo.

Kwa hiyo kama wakitaka kwenda Mahakamani Mimi Sina wasiwasi kabisa. Nina Imani na kikosi Cha Askari maaalum kabisa cha wanasheria makini kabisa hapa Africa kinachopatika hapa Tanzania, kikiongozwa na Peter Kibatala.

Nakuhakikishieni walijaribu kuanzisha kesi hii,tutaona Tena nyeti za kuku. Kesi hii itafikaa mpaka Chat.O. kwa jinsi Kibatala alivyo mtata.

Naamini Ndugai ataletwa Mahakamani na Mahera ataletwa pia.

Safari hii hakutakua na PGO Tena, Bali katiba ndio itakua reference.

Hivyo tutarajie kumuona Mahera akiomba kwenda kukojoa na ndugai pia.

Nina Imani na Kibatala na nduguze.
Nimewamiss sana.
 
Mama Samia hawezi kukubali huo UJINGA - game Over !!

Tanzania ina mambo mengi ya kufanya zaidi ya hayo; cha msingi nawashauri wote 19 waende Chato wakahiji kisha wapitie Kongwa wamsaidie spika wao mradi wake wa mifugo na kilimo cha Korosho.
 
Halima na wenzake wasipoteze muda kutaka kwenda Mahakamani,kwani wanatuhumiwa kughushi sahihi za Viongozi wa chadema.
Hata kama hawakughushi wao,aliewasaidia kughushi yupo.

Kwa hiyo kama wakitaka kwenda Mahakamani Mimi Sina wasiwasi kabisa .Nina Imani na kikosi Cha Askari maaalum kabisa Cha wanasheria makini kabisa hapa Africa kinachopatika hapa Tanzania,kikiongozwa na Peter Kibatala.

Nakuhakikishieni walijaribu kuanzisha kesi hii,tutaona Tena nyeti za kuku.
Kesi hii itafikaa mpaka Chat.O. kwa jinsi Kibatala alivyo mtata.

Naamini Ndugai ataletwa Mahakamani na Mahera ataletwa pia.

Safari hii hakutakua na PGO Tena,Bali katiba ndio itakua reference.

Hivyo tutarajie kumuona Mahera akiomba kwenda kukojoa na ndugai pia.

Nina Imani na Kibatala na nduguze.
Nimewamiss sana.
Kesi ya UGAIDI
WATUHUMIWA WANA KESI YA KUJIBU
Halafu kibatala anasema alitoka jsho la maji na damu-big answer
 
Huenda kwny kikao cha Mh.Rais na Mh.Mbowe suala hili la kina Halima Mdee lilijadiliwa

Siasa za nchi yetu ni za aina yake Duniani

ukitulia unaweza ukachukulia PhD hata sita
 
na wewe tumia akili japo kidogo basi,
we unafikiri wanaenda mahakamani ili washinde kesi au wanaenda mahakamani ili wasogeze siku mbele za kukaa bungeni walambe mishahara na posho, huku kesi ikiwa bado inaendelea,

utashangaa hukumu ya kesi inatolewa mwakani
Mwakani mbona karibu hivyo Hangaya asipobariki kufukuzwa kwao basi hukumu inaweza toka hata 2025 huko
 
Halima na wenzake wasipoteze muda kutaka kwenda Mahakamani,kwani wanatuhumiwa kughushi sahihi za Viongozi wa chadema.
Hata kama hawakughushi wao,aliewasaidia kughushi yupo.

Kwa hiyo kama wakitaka kwenda Mahakamani Mimi Sina wasiwasi kabisa. Nina Imani na kikosi Cha Askari maaalum kabisa Cha wanasheria makini kabisa hapa Africa kinachopatika hapa Tanzania, kikiongozwa na Peter Kibatala.

Nakuhakikishieni walijaribu kuanzisha kesi hii,tutaona Tena nyeti za kuku. Kesi hii itafikaa mpaka Chat.O. kwa jinsi Kibatala alivyo mtata.

Naamini Ndugai ataletwa Mahakamani na Mahera ataletwa pia.

Safari hii hakutakua na PGO Tena, Bali katiba ndio itakua reference.

Hivyo tutarajie kumuona Mahera akiomba kwenda kukojoa na ndugai pia.

Nina Imani na Kibatala na nduguze.
Nimewamiss sana.
Hakuna KESI HAPO. Alijaribu zittow kwenda mahakamani ikashindikana. Chama kikikufukuza Uanachama huwezi toboa mahakamani, hata Kwa masuala ya mpira ni hivyo hivyo, rufaa Huwa haziendi mahakamani, zinamalzwa ndani ya chama.
 
Taja kesi aliyoshinda kiasi cha kuitwa nguli, kesi nyingi tu kapoteza na kisha wateja wake [CHADEMA] hutolewa gerezani kwa msamaha kama sio huruma tu.
Unadhani kwanini serikali huaga inaomba poo? Yaani imuonee huruma mwana Chadema hata DPP aondoe tu kesi mahakamani? KAzi ya ubongo ni kufikiri, yaani ukisoma au kuona kitu sehemu, ubongo unachakata hicho kilicho somwa au kusikia then ubongo unakwambia reason behind of that decision was ABC, sema wengine mmeamua kwa makusudi kabisa kuutumia ubongo kwa kazi nyingine, sio kufikirii
 
Halima na wenzake wasipoteze muda kutaka kwenda Mahakamani,kwani wanatuhumiwa kughushi sahihi za Viongozi wa chadema.
Hata kama hawakughushi wao,aliewasaidia kughushi yupo.

Kwa hiyo kama wakitaka kwenda Mahakamani Mimi Sina wasiwasi kabisa. Nina Imani na kikosi Cha Askari maaalum kabisa Cha wanasheria makini kabisa hapa Africa kinachopatika hapa Tanzania, kikiongozwa na Peter Kibatala.

Nakuhakikishieni walijaribu kuanzisha kesi hii,tutaona Tena nyeti za kuku. Kesi hii itafikaa mpaka Chat.O. kwa jinsi Kibatala alivyo mtata.

Naamini Ndugai ataletwa Mahakamani na Mahera ataletwa pia.

Safari hii hakutakua na PGO Tena, Bali katiba ndio itakua reference.

Hivyo tutarajie kumuona Mahera akiomba kwenda kukojoa na ndugai pia.

Nina Imani na Kibatala na nduguze.
Nimewamiss sana.

Hahahaha mtu pekee ambae anaweza kuwatupa covid ni serikali,

Kama ilihusika kuwaingiza means itawalinda ndani ya Bunge au nje ya Bunge

Leo watu wamekodi ndege kupeleka barua Dodoma hahaa Yan get likifunguliwa Tu barua inaingia
 
Taja kesi aliyoshinda kiasi cha kuitwa nguli, kesi nyingi tu kapoteza na kisha wateja wake [CHADEMA] hutolewa gerezani kwa msamaha kama sio huruma tu.
Wew Kihiyo utajua wapi sheria? Nakukumbusha tuu mwaka Juzi ktk kesi Ile yenu ya urongo ya mauaji ya Akwilina mliwalipisha faini hao akina Mbowe, Mdee, Heche, Msigwa na wengineo.
Kibatala alikata rufaa Mahakama ya rufaa na hukumu hiyo ikatenguliwa.
Tatizo lako unafikiri kwa kutumia Makalio nimekupa mfano wa kesi moja tuu.
 
Wew Kihiyo utajua wapi sheria? Nakukumbusha tuu mwaka Juzi ktk kesi Ile yenu ya urongo ya mauaji ya Akwilina mliwalipisha faini hao akina Mbowe, Mdee, Heche, Msigwa na wengineo.
Kibatala alikata rufaa Mahakama ya rufaa na hukumu hiyo ikatenguliwa.
Tatizo lako unafikiri kwa kutumia Makalio nimekupa mfano wa kesi moja tuu.

Jenga hoja bila mipasho, huo mfano mmoja wa kuokoteza ulishatolewa ufafanuzi kuwa ni huruma tu kwa lengo maalumu…. na hakuna nyingine.
 
Halima na wenzake wasipoteze muda kutaka kwenda Mahakamani,kwani wanatuhumiwa kughushi sahihi za Viongozi wa chadema

Hata kama hawakughushi wao,aliewasaidia kughushi yupo.

Kwa hiyo kama wakitaka kwenda Mahakamani Mimi Sina wasiwasi kabisa. Nina Imani na kikosi Cha Askari maaalum kabisa cha wanasheria makini kabisa hapa Africa kinachopatika hapa Tanzania, kikiongozwa na Peter Kibatala.

Nakuhakikishieni walijaribu kuanzisha kesi hii,tutaona Tena nyeti za kuku. Kesi hii itafikaa mpaka Chat.O. kwa jinsi Kibatala alivyo mtata.

Naamini Ndugai ataletwa Mahakamani na Mahera ataletwa pia.

Safari hii hakutakua na PGO Tena, Bali katiba ndio itakua reference.

Hivyo tutarajie kumuona Mahera akiomba kwenda kukojoa na ndugai pia.

Nina Imani na Kibatala na nduguze.
Nimewamiss sana.
Uwe na lugha ya busara. Jana mwenyekiti wenu kawonya bado unabweka tu. Koma
 
Back
Top Bottom