hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Jiwe ndio alowalinda ,
Samia hataki tabia za Jiwe,za uhuniuhuni katika siasa.
Makamu wa jiwe ni Samia na makamu wa ndugai ni tulia means wote wanajua kila kitu
Bunge kupokea wabunge wapya means tume ya uchaguzi yote ipigwe chini
Yan kuna taasisi nyingi na watu wengi watatakiwa kuacha office zao
Hili jambo sio easy kama ambavyo wengi mnadhania