Halima Mdee na Wenzake 18 nawaonya wasijaribu kwenda Mahakamani, "Kibatala na wenzake" bado wapo

Halima Mdee na Wenzake 18 nawaonya wasijaribu kwenda Mahakamani, "Kibatala na wenzake" bado wapo

Jiwe ndio alowalinda ,
Samia hataki tabia za Jiwe,za uhuniuhuni katika siasa.

Makamu wa jiwe ni Samia na makamu wa ndugai ni tulia means wote wanajua kila kitu

Bunge kupokea wabunge wapya means tume ya uchaguzi yote ipigwe chini

Yan kuna taasisi nyingi na watu wengi watatakiwa kuacha office zao

Hili jambo sio easy kama ambavyo wengi mnadhania
 
Halima na wenzake wasipoteze muda kutaka kwenda Mahakamani,kwani wanatuhumiwa kughushi sahihi za Viongozi wa chadema

Hata kama hawakughushi wao,aliewasaidia kughushi yupo.

Kwa hiyo kama wakitaka kwenda Mahakamani Mimi Sina wasiwasi kabisa. Nina Imani na kikosi Cha Askari maaalum kabisa cha wanasheria makini kabisa hapa Africa kinachopatika hapa Tanzania, kikiongozwa na Peter Kibatala.

Nakuhakikishieni walijaribu kuanzisha kesi hii,tutaona Tena nyeti za kuku. Kesi hii itafikaa mpaka Chat.O. kwa jinsi Kibatala alivyo mtata.

Naamini Ndugai ataletwa Mahakamani na Mahera ataletwa pia.

Safari hii hakutakua na PGO Tena, Bali katiba ndio itakua reference.

Hivyo tutarajie kumuona Mahera akiomba kwenda kukojoa na ndugai pia.

Nina Imani na Kibatala na nduguze.
Nimewamiss sana.
Naona kama vile unawatisha akina Halima Mdee na wenzake! Pia ni kama vile unajaribu kumuwekea UZIO Mwenyekiti Gaidi na wenzake on this issue kwani kila mtu anajua, hata wewe unajua, kuwa pesa imetembea in this issue na mhusika aliyechukua hayo mapesa na anaendelea kuchukua hayo mapesa ya hao 18 anajulikana. Acha mkwara waache watafute haki zao popote pale.
 
Halima na wenzake wasipoteze muda kutaka kwenda Mahakamani,kwani wanatuhumiwa kughushi sahihi za Viongozi wa chadema

Hata kama hawakughushi wao,aliewasaidia kughushi yupo.

Kwa hiyo kama wakitaka kwenda Mahakamani Mimi Sina wasiwasi kabisa. Nina Imani na kikosi Cha Askari maaalum kabisa cha wanasheria makini kabisa hapa Africa kinachopatika hapa Tanzania, kikiongozwa na Peter Kibatala.

Nakuhakikishieni walijaribu kuanzisha kesi hii,tutaona Tena nyeti za kuku. Kesi hii itafikaa mpaka Chat.O. kwa jinsi Kibatala alivyo mtata.

Naamini Ndugai ataletwa Mahakamani na Mahera ataletwa pia.

Safari hii hakutakua na PGO Tena, Bali katiba ndio itakua reference.

Hivyo tutarajie kumuona Mahera akiomba kwenda kukojoa na ndugai pia.

Nina Imani na Kibatala na nduguze.
Nimewamiss sana.
Ndugu, kuwepo kwa mtu fulani kama Waziri, jaji, wakili au vinginevyo hakumzuii mtu mwengine kukata rufaa au kufungua madai ya haki Mahakamani. Kutuambia Kibatala yupo ni kwamba unawatisha kina mdee? Au unaogopa wakienda kuna haki watapata ambayo itakuwa pigo kwako?
Mfano CDM wamegundulika na CAG kuna manunuzi yamefanyika bila kufuata sheria na kanuni. Kibatala hakuwepo kuwashauri? Huyu jamaa amewashika anawapiga pesa nyingi baada ya kuwaaminisha kwamba yeye ni wakili wa dunia! Wacha na yeye ajipatie kaugali kake.
 
Tunapopigania haki maana yake ni kutoa uhuru kwa kila raia kuamua anachokiamini kwa kufuata sheria.Kutishana ni kusigina haki ya watu
 
Back
Top Bottom