lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
- Thread starter
-
- #21
Ha ha haa.Mama Samia hawezi kukubali huo UJINGA - game Over !!
Tanzania ina mambo mengi ya kufanya zaidi ya hayo; cha msingi nawashauri wote 19 waende Chato wakahiji kisha wapitie Kongwa wamsaidie spika wao mradi wake wa mifugo na kilimo cha Korosho.
Akina Kibatala,Mtobesya,Nashon na wenzao.Mimi natamani waende mahakamani ili tuzitafute nyeti za kuku...
Mheshimiwa jaji kama itakupendeza naomba kwenda chooni.Bila kumsahau mwanasheria nguli Mallya;
'Halima iambie mahakama wakati yule mwanaume 'mburuza miguu' akiwapa hati kwenda Bungeni ulikuwa umemkalia au amekukalia' [emoji1787] [emoji1787]
Hoja Yako Ina nguvu sana aisee,na wewe tumia akili japo kidogo basi,
we unafikiri wanaenda mahakamani ili washinde kesi au wanaenda mahakamani ili wasogeze siku mbele za kukaa bungeni walambe mishahara na posho, huku kesi ikiwa bado inaendelea,
utashangaa hukumu ya kesi inatolewa mwakani
Vyovyote vile lakini huwa anafunua nyeti za kuku.Kibatala aliwahi kushinda kesi ipi turejee?
👏👏👏😀😀😀Bila kumsahau mwanasheria nguli Mallya;
'Halima iambie mahakama wakati yule mwanaume 'mburuza miguu' akiwapa hati kwenda Bungeni ulikuwa umemkalia au amekukalia' 🤣 🤣
Nakuambia nyeti zitaonekana.yes, nafikiri wakienda mahakamani litakuwa jambo jema, kila kitu kitakuwa wazi - hata yule aliyetolewa usiku wa manane gelezani Singida kwenda kuapa Dodoma kesho yake itakuwa wazi kwa mamlaka ya nani.
Achananeni nao si mmeshawafukuzaHalima na wenzake wasipoteze muda kutaka kwenda Mahakamani,kwani wanatuhumiwa kughushi sahihi za Viongozi wa chadema
Hata kama hawakughushi wao,aliewasaidia kughushi yupo.
Kwa hiyo kama wakitaka kwenda Mahakamani Mimi Sina wasiwasi kabisa. Nina Imani na kikosi Cha Askari maaalum kabisa cha wanasheria makini kabisa hapa Africa kinachopatika hapa Tanzania, kikiongozwa na Peter Kibatala.
Nakuhakikishieni walijaribu kuanzisha kesi hii,tutaona Tena nyeti za kuku. Kesi hii itafikaa mpaka Chat.O. kwa jinsi Kibatala alivyo mtata.
Naamini Ndugai ataletwa Mahakamani na Mahera ataletwa pia.
Safari hii hakutakua na PGO Tena, Bali katiba ndio itakua reference.
Hivyo tutarajie kumuona Mahera akiomba kwenda kukojoa na ndugai pia.
Nina Imani na Kibatala na nduguze.
Nimewamiss sana.
Hawatoboi kabisaa,ila kupoteza muda TU.Hakuna KESI HAPO. Alijaribu zittow kwenda mahakamani ikashindikana. Chama kikikufukuza Uanachama huwezi toboa mahakamani, hata Kwa masuala ya mpira ni hivyo hivyo, rufaa Huwa haziendi mahakamani, zinamalzwa ndani ya chama.
Jiwe ndio alowalinda ,Hahahaha mtu pekee ambae anaweza kuwatupa covid ni serikali,
Kama ilihusika kuwaingiza means itawalinda ndani ya Bunge au nje ya Bunge
Leo watu wamekodi ndege kupeleka barua Dodoma hahaa Yan get likifunguliwa Tu barua inaingia
Halima na wenzake wasipoteze muda kutaka kwenda Mahakamani,kwani wanatuhumiwa kughushi sahihi za Viongozi wa chadema
Hata kama hawakughushi wao,aliewasaidia kughushi yupo.
Kwa hiyo kama wakitaka kwenda Mahakamani Mimi Sina wasiwasi kabisa. Nina Imani na kikosi Cha Askari maaalum kabisa cha wanasheria makini kabisa hapa Africa kinachopatika hapa Tanzania, kikiongozwa na Peter Kibatala.
Nakuhakikishieni walijaribu kuanzisha kesi hii,tutaona Tena nyeti za kuku. Kesi hii itafikaa mpaka Chat.O. kwa jinsi Kibatala alivyo mtata.
Naamini Ndugai ataletwa Mahakamani na Mahera ataletwa pia.
Safari hii hakutakua na PGO Tena, Bali katiba ndio itakua reference.
Hivyo tutarajie kumuona Mahera akiomba kwenda kukojoa na ndugai pia.
Nina Imani na Kibatala na nduguze.
Nimewamiss sana.
Huniambii kitu,Uwe na lugha ya busara. Jana mwenyekiti wenu kawonya bado unabweka tu. Koma
🤣🤣🤣🤣🤣😩Mheshimiwa jaji kama itakupendeza naomba kwenda chooni.
Sent from my SM-A037G using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu kama hicho,huu mjadala wao utaendelea kwa mwaka mzima.Achananeni nao si mmeshawafukuza
Jamaa kweli pilipili kichaa[emoji122][emoji122][emoji122][emoji3][emoji3][emoji3]
He wewe vp wewe!!?Daah hadi kibatala mmeanza kumuabudu